umetumia akili gani kunijudge?Kwa bandiko lako hili wewe huna akili kabisaaa! Una kibuyu cha kufugia nywele na kuhifadhia makamasi mwenyewe unakiita kichwa.View attachment 2363244
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Simba hii ninayoifahamu au Simba gani? Hiihii iliyobandua logo ya sportpesa kwenye jezi na kubandika za m-bet?Malengo ya Simba hayajawahi kuwa kuifunga yanga ndio yamefikiwa. Tuna target kubwa zaidi. Nyie mmeshatimiza Lengo kuu lenu la kuifunga Simba msimu huu, hayo mengine ni ziada tu.
NA WEWE UTO SIKILIZA.akili nini?
Wewe akili zako unazipimaje?
Akili za watu wengine unapimaje?
nani anawapima watu akili?
Yeye mpimaji ana akili kiasi gani?
Je mpimaji akili kwa wanayanga alipewa mamlaka na chuo kikuu gani kupima akili wanayanga?
Mpimaji anatumia akili ipi kuwapima watu akili?
Je lini mashabiki wa Yanga walipimwa akili?
Kilitumika kipimo gani?
Mtihani wa kupima akili ulifanyika wapi , maswali yalikuwa yapi?
Nani alitunga maswali kuwapima akili wanayanga?
Nani alisahihisha majibu ya maswali ya mtihani wa akili?
Msahishaji alitumia akili ipi kusahihisha mitihani ya akili ya wanayanga?
Je huko Kolokoloni kwenu mtu kuropoka baada ya kushiba chipsi zege ndio mnahesabu ndio akili?
Kweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga kuzungumza na kutenda!
Kujua kama jua linawaka au mvua inanyesha inahitajika elimu ya chuo kikuu?umetumia akili gani kunijudge?
Duh! hapo sina cha kusema mkuu!NA WEWE UTO SIKILIZA.
Mtu wa kwanza kutunikiwa cheti cha shahada ya kwanza alitunukiwa na mtu ambaye hakuhitimu hiyo shahada. Mtihani wake ulitungwa na kusahihishwa na mtu ambaye hakuhitimu shahada husika. Hapo unasemaje boss