Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Mwenye ile link iliopost picha za scorpion hakucjangia? [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Kuna uvumi wa uswazi unadai kuwa bwana NGE alikuwa anaandaa muvi kisha akaenda kwa mganga akamwambia ukitaka kuwa kama Kanumba inabidi uje na macho ya watu kadha.Ni lisemwalo hilo baadhi ya maeneo ya uswahilini.
Umeliripoti hili police??
 
Labda ameitwa na maalim Seif Sharif Hamad si unajua ni cuf original, yeye na Propesa li pumba ni kama urusi na marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…