wise samura
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 515
- 297
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mshana jr ndio scorpion ahahahaha hapana bhanaa sema hana bando siombaya ukamtumia kivocha cha buku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Rungu la TCRA limemkuta na ile simu yake ya laini 6.
Mwenye ile link iliopost picha za scorpion hakucjangia? [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Wandugu kati ya watu ninaowakubali Jf, Mshana Jr ni namba Moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye Busara ya huyu member mwenzetu.
Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu Kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."
Hili jambo si la kawaida kwa Nguli huyu wa Jf,
Naomba kujuzwa kwa wale wajuani wake, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake. NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.
Wewe ndo unajua alipo, inasemekana kuwa hata nyabe huwa unampatia......Mtani anatengeneza airforce one
Uwe unaniamsha aisee!Mtani anatengeneza airforce one
Umeliripoti hili police??Kuna uvumi wa uswazi unadai kuwa bwana NGE alikuwa anaandaa muvi kisha akaenda kwa mganga akamwambia ukitaka kuwa kama Kanumba inabidi uje na macho ya watu kadha.Ni lisemwalo hilo baadhi ya maeneo ya uswahilini.
Hizo ni tetesi tu na isitoshe muhalifu kakamatwa na kesi ipo mahakamani.Kila tukio linapotokea ni lazima kuwe na vitu vingi vitakavyosemwa.Umeliripoti hili police??
Wewe ndo unajua alipo, inasemekana kuwa hata nyabe huwa unampatia......