Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ngoja ikamilikeUwe unaniamsha aisee!
Kweli anamalizia kutengeneza mzigo jana kaja na airbassKuna kitu utakuwa unakijua kuhusu mtafutwa, kwakuwa wachaga na wapare ni watani basi hata kiutani utani tuambie kilichompata tutakuelewa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] inawezekana maana ni professional mwenzakeAiseee! Labda atakua ameenda kuhani msiba wa yule
" mtengeneza radi"
LAKI SI PESA nae vipi kasombwa au.....Wandugu,
Kati ya watu ninaowakubali JF, Mshana Jr ni namba moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye busara ya huyu member mwenzetu.
Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."Hili jambo si la kawaida kwa nguli huyu wa JF.
Naomba kujuzwa kwa wale wamjuaye, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake.
NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.
No comment but I want my mdogo back basi!!!!!!!! Kuna mtu alimtishia last week humu.Scorpion hawezi kuwa Mshana Jr kwasababu zifuatazo:-
1.Scorpion uwezo wake wa kufikilia ni mdogo sana kama anavizia watu na kuwatoboa macho ili apate mia mbili wakati Mshana Jr anauwezo wa kuliongelea jambo la kesho siku ya leo na kesho ikifika tunashangaa kama alipotoa thread yake ya MUMIANI kama ingesemwa vizuri watafiti wasinge uwawa kule Dodoma hapa najaribu kuonyesha uwezo wa Mshana Jr ukilinganisha na Scorpion.
2.Mshana Jr ukichunguza thread zake zote ni za maendeleo sio za kukatisha tamaa kama afanyavyo Scorpion anawatoa watu macho ili wakwame kimaisha.
3.Mshana Jr anapesa ya bando na anaonekana ni mtafiti ndio maana anapotoa thread yake lazima aweke justification ya ku support thread yake uwezo huu watu wengi humu hawana mpaka wewe mtoa mada hauja support thread yako, Scorpion hana uwezo wa kuandika kama Mshana Jr lazima uwe na ka elimu kuhusu mambo mengi anayoandika Mshana Jr.
Buku 7 imekatwa sinunajua mwaka wa kubana matumizi.pia mzee tupatupa wa lumumba sijui kapotelea wapi
Buku 7 imekatwa sinunajua mwaka wa kubana matumizi.
Ypi sasa mmoja wapo??Wewe unamfahamu kwa sura Mkuu?