Nimejikuta nazikumbuka sana monents za Fast Jet miaka ya 2010's
Ni kipindi nachoweza kusema nilitoa ushamba wa ndege, ndege ilikuwa kama basi la mkoani.
Ilikuwa ni mkombozi mkubwa sana kwa watu wenye uchumi wa kawaida.
Ndege zilikuwa zinajaa inabidi ukate ticket mapema,
Nilichokuwa nawapendea nje ya bei rafiki ni kujali ratiba, ukifika uwanjani una uhakika wakuondoka muda uliopangwa.
Tangu Fastjet waondoke nimepanda ndege mara 2 tu, Ni mara moja tu nimekata tiketi kwa pesa yangu ilikuwa ni emergency, safari nyingine ilikuwa ya kikazi sikulipia tiket,
Nimeshazoea mabasi, ninasafiri inaponilazimu tu, SGR ikisambazwa mikoani itakuwa vema zaidi
Ni kipindi nachoweza kusema nilitoa ushamba wa ndege, ndege ilikuwa kama basi la mkoani.
Ilikuwa ni mkombozi mkubwa sana kwa watu wenye uchumi wa kawaida.
Ndege zilikuwa zinajaa inabidi ukate ticket mapema,
Nilichokuwa nawapendea nje ya bei rafiki ni kujali ratiba, ukifika uwanjani una uhakika wakuondoka muda uliopangwa.
Tangu Fastjet waondoke nimepanda ndege mara 2 tu, Ni mara moja tu nimekata tiketi kwa pesa yangu ilikuwa ni emergency, safari nyingine ilikuwa ya kikazi sikulipia tiket,
Nimeshazoea mabasi, ninasafiri inaponilazimu tu, SGR ikisambazwa mikoani itakuwa vema zaidi