Salaam, shalom!!
Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo.
Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi.
Kwamba baada ya kuona kuwa Kuna udhalilishaji mkubwa na masharti magumu katika kuipata mikopo hiyo, sasa ameamua kukusanya Kodi!!
TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO:
1. Ikiwa una wananchi wasiopenda kulipa Kodi, ukikopa, atalipa nani?
2. Je, mikopo ni mbadala wa kulipa Kodi?
3. Kwanini Serikali haipunguzi matumizi ya anasa Ili kidogo kinachokusanywa kitoshe matumizi?
4. Kama Nchi, Kweli tunao viongozi sahihi wenye upeo wa kutuvusha tulipokwama?
5. Kwanini Kodi haikusanywi, na kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi ikiwa Kodi wanayowekewa ni sahihi?
6. Mikopo Huwa inakopwa Ili kuongeza kwenye mtaji Ili faida ipatikane Kisha tupate uwezo wa kulipa mkopo au Huwa inachukuliwa kufidia matumizi ya anasa ya Serikali yaliyopungua kutokana na UKWEPAJI Kodi na makusanyo hafifu?
7. Nikisema kuwa tunelekea hatua ya kutokopesheka Kwa kushindwa kulipa mikopo nitakuwa nimekosea?
Ongezea maswali mengine na karibu Kwa mjadala🙏
Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo.
Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi.
Kwamba baada ya kuona kuwa Kuna udhalilishaji mkubwa na masharti magumu katika kuipata mikopo hiyo, sasa ameamua kukusanya Kodi!!
TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO:
1. Ikiwa una wananchi wasiopenda kulipa Kodi, ukikopa, atalipa nani?
2. Je, mikopo ni mbadala wa kulipa Kodi?
3. Kwanini Serikali haipunguzi matumizi ya anasa Ili kidogo kinachokusanywa kitoshe matumizi?
4. Kama Nchi, Kweli tunao viongozi sahihi wenye upeo wa kutuvusha tulipokwama?
5. Kwanini Kodi haikusanywi, na kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi ikiwa Kodi wanayowekewa ni sahihi?
6. Mikopo Huwa inakopwa Ili kuongeza kwenye mtaji Ili faida ipatikane Kisha tupate uwezo wa kulipa mkopo au Huwa inachukuliwa kufidia matumizi ya anasa ya Serikali yaliyopungua kutokana na UKWEPAJI Kodi na makusanyo hafifu?
7. Nikisema kuwa tunelekea hatua ya kutokopesheka Kwa kushindwa kulipa mikopo nitakuwa nimekosea?
Ongezea maswali mengine na karibu Kwa mjadala🙏