Tangu lini Mikopo ikawa mbadala wa kulipa Kodi?

Tangu lini Mikopo ikawa mbadala wa kulipa Kodi?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!

Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo.

Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi.

Kwamba baada ya kuona kuwa Kuna udhalilishaji mkubwa na masharti magumu katika kuipata mikopo hiyo, sasa ameamua kukusanya Kodi!!

TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

1. Ikiwa una wananchi wasiopenda kulipa Kodi, ukikopa, atalipa nani?

2. Je, mikopo ni mbadala wa kulipa Kodi?

3. Kwanini Serikali haipunguzi matumizi ya anasa Ili kidogo kinachokusanywa kitoshe matumizi?

4. Kama Nchi, Kweli tunao viongozi sahihi wenye upeo wa kutuvusha tulipokwama?

5. Kwanini Kodi haikusanywi, na kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi ikiwa Kodi wanayowekewa ni sahihi?

6. Mikopo Huwa inakopwa Ili kuongeza kwenye mtaji Ili faida ipatikane Kisha tupate uwezo wa kulipa mkopo au Huwa inachukuliwa kufidia matumizi ya anasa ya Serikali yaliyopungua kutokana na UKWEPAJI Kodi na makusanyo hafifu?

7. Nikisema kuwa tunelekea hatua ya kutokopesheka Kwa kushindwa kulipa mikopo nitakuwa nimekosea?

Ongezea maswali mengine na karibu Kwa mjadala🙏
 
Mastory tu hiyo mikopo kwani inalipwa kwa kutimia nini kama sio kodi.
 
Unajua maana ya ku TOP UP?

Au hujawahi kopa kausha Damu?
Sasa kama watu hawalipi kodi hiyo haiwezi kuwa soln maana hyo top up italupwa kwa kodi tena plus riba.
By the way sijawahi kukopa kausha damu
 
IMG-20240701-WA1607.jpg
 
Sasa kama watu hawalipi kodi hiyo haiwezi kuwa soln maana hyo top up italupwa kwa kodi tena plus riba.
By the way sijawahi kukopa kausha damu
Huyo ndio kiongozi tulionaye,

Naamini ushauri huo mbovu, anapewa na waziri mbeba kibubu!!
 
Tusipo simama kwenye tuta 2025, hatutatoboa huko mbeleni!!
Ccm haiwez kuondoka kwa kura. Na kwa akili za watanzania ccm itashinda bila hata kuiba kura maana wanaangalia diamond na shilole wanamuunga mkono nani baso nao wanaenda huko.
Wengine wanachanganya na kiingerrza cha cartel
 
Salaam, shalom!!

Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo.

Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi.

Kwamba baada ya kuona kuwa Kuna udhalilishaji mkubwa na masharti magumu katika kuipata mikopo hiyo, sasa ameamua kukusanya Kodi!!

TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

1. Ikiwa una wananchi wasiopenda kulipa Kodi, ukikopa, atalipa nani?

2. Je, mikopo ni mbadala wa kulipa Kodi?

3. Kwanini Serikali haipunguzi matumizi ya anasa Ili kidogo kinachokusanywa kitoshe matumizi?

4. Kama Nchi, Kweli tunao viongozi sahihi wenye upeo wa kutuvusha tulipokwama?

5. Kwanini Kodi haikusanywi, na kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi ikiwa Kodi wanayowekewa ni sahihi?

Ongezea maswali mengine na karibu Kwa mjadala🙏
Kwa ufupi huyu wa kwetu anamtindio wa ubongo,
Hata kuiga kutoka Kenya anashindwa, punguza idadi ya mawaziri, washauri, wabunge, wizard ziwe 10 tu, wabunge 60 ,
 
Salaam, shalom!!

Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo.

Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi.

Kwamba baada ya kuona kuwa Kuna udhalilishaji mkubwa na masharti magumu katika kuipata mikopo hiyo, sasa ameamua kukusanya Kodi!!

TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

1. Ikiwa una wananchi wasiopenda kulipa Kodi, ukikopa, atalipa nani?

2. Je, mikopo ni mbadala wa kulipa Kodi?

3. Kwanini Serikali haipunguzi matumizi ya anasa Ili kidogo kinachokusanywa kitoshe matumizi?

4. Kama Nchi, Kweli tunao viongozi sahihi wenye upeo wa kutuvusha tulipokwama?

5. Kwanini Kodi haikusanywi, na kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi ikiwa Kodi wanayowekewa ni sahihi?

6. Mikopo Huwa inakopwa Ili kuongeza kwenye mtaji Ili faida ipatikane Kisha tupate uwezo wa kulipa mkopo au Huwa inachukuliwa kufidia matumizi ya anasa ya Serikali yaliyopungua kutokana na UKWEPAJI Kodi na makusanyo hafifu?

Ongezea maswali mengine na karibu Kwa mjadala🙏
Punguza sauti.....
 
Unaweza kuhisi analishwa opium ili aharibikiwe ubongo akose uhalali fulani wanaoutaka walishaji was hiyo opium!!
Yeye Si mdoli afanyiwe hivyo!!

Kwamba maamuzi amewaachia wasaidizi waamue watakavyo,

Kwamba " Hilo nalo mkalitizame"?

Kwani ushauri Si ni WA kuchukua na kuupima, kuboresha Kisha tunapata idea Bora zaidi?
 
Kwa ufupi huyu wa kwetu anamtindio wa ubongo,
Hata kuiga kutoka Kenya anashindwa, punguza idadi ya mawaziri, washauri, wabunge, wizard ziwe 10 tu, wabunge 60 ,
Yaani una kipato Cha 100,000 Lakini hutaki kupunguza na kufix matumizi Yako Ili yaendane na kipato,

Ulazimishe kukopa Ili kupata pesa ya matumizi yanayofikia Milioni Moja🤔?
 
Yeye Si mdoli afanyiwe hivyo!!

Kwamba maamuzi amewaachia wasaidizi waamue watakavyo,

Kwamba " Hilo nalo mkalitizame"?

Kwani ushauri Si ni WA kuchukua na kuupima, kuboresha Kisha tunapata idea Bora zaidi?
Yaani namaanisha Kuna substance added kwenye normal feed purposely kupata matokeo wanayoyataka wahusika!!!

Kuna kauli anatoa unahisi hivyo!!

Labda ndio desert mission yenyewe hiyo!
 
Back
Top Bottom