Nilitaka nimwambie hivyo, afanya hata safari kidogoMuachie mji
Kwenye ujauzito nina asilimia zote kua ni wangu, ila hivi vioja naona kama ananiigizia tu au kukomoanaHongera mkuu..
Huyo mke ndio mara ya kwanza kushika ujauzito!?
Hivi wanawaonaje hao viumbe!? Mke ni kwako ila mimba hujampa wewe ndio maana anakuletea songombingo...(Zesheni)
Weka misimamo ya kiume ili akili imkae sawa mimba sio ugonjwa kaka
Anakuigizia mkuu toa kauli za kimamlaka ili akili zimkae sawa.Kwenye ujauzito nina asilimia zote kua ni wangu, ila hivi vioja naona kama ananiigizia tu au kukomoana
unauwakika hata hiyo mimba ni yako?Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,
1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story
2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.
3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.
4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.
Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Mwanaume huwa hachepuki, anakuwa na Masuria.Ni hyo hali tu japo kuna mda wanajiendekeza na pia hawapati watu sahihi wa kuwashauri kwa sababu anakutreat kama na wewe pia una mimba
Kuhusu unyumba kipindi cha ujauzito unahtaj kuwa mvumilivu wengine hamu inapotea kabsa hasa umri wa ujauzito unapoongezeka sasa hujasema ana ujauzito wa mda gani
Kujiepusha na kuanza kuchepuka kubaliana na hali na jishushe mwanamke akiwa mjamzito kuna namna ya kuiomba huwezi kuwa unaipata kama ulivyokuwa unaipata mwanzo kaka
Acheni kuhalalisha uwasheratiMwanaume huwa hachepuki, anakuwa na Masuria.
1. Naye Daudi akazidi kujitwalia masuria na wake huko Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; wakazaliwa zaidi kwa Daudi wana na binti.
2 Samweli 5:13
2. Lakini wana wa masuria aliokuwa nao Ibrahimu, Ibrahimu akawapa zawadi, naye akawaondoa katika mahali alipokaa Isaka mwanawe, wakati wa uhai wake, waende pande za mashariki, mpaka nchi ya Kedemu.
Mwanzo 25:6
3. (Huyu ni Sulemani). Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo. 1 Wafalme 11:3
Mwanamke ndiye huchepuka kwa kuwa anazini, yaani anafanya uchafu.
Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
Yohana 8:3
Mwanaume umeamuliwa kutokutamani mke wa mtu. ELEWA MKE WA MWANAUME MWENZIO
Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako. Kutoka 20:17
Wakati mke anapokuwa mjamzito ni muda muafaka wa kwenda kwa nyumba ndogo zako. Tumia vizuri huu muda, nenda nje huko piga sama watoto wa chuo.Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,
1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story
2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.
3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.
4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.
Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Trust me kabeba Dume!Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,
1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story
2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.
3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.
4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.
Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Mambo yasiwe wengi😂Muachie mji