Tangu mke wangu apate ujauzito maelewano yamepotea na unyumba nanyimwa

Tangu mke wangu apate ujauzito maelewano yamepotea na unyumba nanyimwa

Mwanaume huwa hachepuki, anakuwa na Masuria.

1. Naye Daudi akazidi kujitwalia masuria na wake huko Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; wakazaliwa zaidi kwa Daudi wana na binti.
2 Samweli 5:13

2. Lakini wana wa masuria aliokuwa nao Ibrahimu, Ibrahimu akawapa zawadi, naye akawaondoa katika mahali alipokaa Isaka mwanawe, wakati wa uhai wake, waende pande za mashariki, mpaka nchi ya Kedemu.
Mwanzo 25:6

3. (Huyu ni Sulemani). Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo. 1 Wafalme 11:3

Mwanamke ndiye huchepuka kwa kuwa anazini, yaani anafanya uchafu.

Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
Yohana 8:3

Mwanaume umeamuliwa kutokutamani mke wa mtu. ELEWA MKE WA MWANAUME MWENZIO

Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako. Kutoka 20:17
Kwani mzee wa hovyo Grahams Anasemaje?
 
Anakuigizia mkuu toa kauli za kimamlaka ili akili zimkae sawa.
Ukienda vijijini unakuta wanawake Wana mimba na hawana izo mambo za kipuuzi puuzi
Unaijua mimba yenye baba mkuu😂😂 ndo hua zinakuaga hivyo ...
Ila mimba isio na baba umjkataliwa afu huna maisha Bro unanyooka unakula kila kitu na huchoki mana utamchokea nani? Au utamnunia nani?
Hizi changamoto ni za waume za watu au wachumba za watu ndio hukutana nazo
 
Sasa rafiki hilo nalo ni la kuomba ushauri? Tafuta Manzi mtaa wa sita kutoka hapo ulipo uwe unabaltazarika kimtindo!
 
Ni kawaida sana ndugu. Mimi wife kwenye ujauzito wake wa kwanza alikua ananiambia ninayka jasho sana. Yani ananiambia jasho lako linanuka silitaki 😄

Nilikua najitahidi kabla ya kulala naoga vizuri kabisa lkn anasema bado nanuka. Nikisema nitumie pafyum ndo hataki harufu yoyote ya pafyum. Sasa ilifikia hatua akawa ananipisha mimi anaenda kulala chumba cha wageni. Basi nikaona isiwe shida nikaamua kumuachia chumba, mimi ndo nikawa naenda kulala chumba cha wageni.

Sitting room nikimsogelea tu ananiambia ina maana wee hujisikiii kama unanuka jasho 😄.. ilikua ni songombingo ndani humo.

Kwenye issue ya sex wala sikupata shida sana maana nilitafuta nchepuko wa kudumu nikawa najipigia, yani kila weekend nina uhakika wa kula tunda.

Lakn baada ya kujifungua maisha yaliendelea vzr tu, hata jasho siku hizi sinusitis tena 😄

Vumilia ndugu
 
Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,

1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story

2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.

3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.

4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.

Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Unataka kula ndaza?? Nyuchi inakua imetepeta kama ya ng'ombe though hot.
 
Tuliishaambiwa tuishi nao kwa akili.Tumia akili mzee...yaani una-mind vitu vidogo hivyo - wanawake wana - mood sana, hormones zinawaperekesha.Na hapo ukitaka kumchokonoa ndo utaharibu zaidi - wewe unaweza kuhisi shida ni wewe kumbe wewe hata hauhusiki kwa chochote...take your time be busy she will be fine na utashangaa yeye ndo anaanza kukusimulia why yuko hivyo.
Kuhusu kunyimwa....hiyo mbona kawaida mzee, na mbona bado sana - utaimba aleluya.
Wanaume sex ni sehemu ya maisha yetu kuonyesha tumefurahi, tunajali, tunapenda, n.k
 
Anakuigizia mkuu toa kauli za kimamlaka ili akili zimkae sawa.
Ukienda vijijini unakuta wanawake Wana mimba na hawana izo mambo za kipuuzi puuzi
Wamjini wanaifanya hio hali ndio kitega uchumi,kukomoa,kuendekeza hata yasiokuwepo,hapo ndio utaona rangi zote ila akipata shida utabembelezwa tu ukitoe anachotaka,then kimya km wadau walivyokushauri tafuta safari ukatembee au ikiwezekana mtoe out angalau abadili mazingira kingine jitahidi kua mtanashati,sometimes hata harufu anazizoea zinawakera
 
Unaijua mimba yenye baba mkuu😂😂 ndo hua zinakuaga hivyo ...
Ila mimba isio na baba umjkataliwa afu huna maisha Bro unanyooka unakula kila kitu na huchoki mana utamchokea nani? Au utamnunia nani?
Hizi changamoto ni za waume za watu au wachumba za watu ndio hukutana nazo
Hahahaaa mna mambo nyie..
 
Huwa ni kawaida sana, lkn kuna muda hali inakuwa shwari......wanasema mimba si ugonjwa lkn kuna mabadiliko huwa yanatokea na hayazuiliki. Muhimu kujiepusha kuzozana nae kula lala mpka akae sawa si lzma kila anachotamka ukijibu fanya kama haumuoni, utaish kwa amani.
 
Naona ndiyo kwanza unatarajia kupata mtoto kwa mara ya kwanza, ndiyo maana unashangaa hayo!
Hiyo ni hali ya kawaida kwa wajawazito-hasira,chuki,nk
Ukiona hali imezidi mpeleke nyumbani kwa Mama yake mpaka atakapojifungua!
 
Naona ndiyo kwanza unatarajia kupata mtoto kwa mara ya kwanza, ndiyo maana unashangaa hayo!
Hiyo ni hali ya kawaida kwa wajawazito-hasira,chuki,nk
Ukiona hali imezidi mpeleke nyumbani kwa Mama yake mpaka atakapojifungua!
Lakini mi too much, sasa hata chakula anaamka anapika chai ya kwake tu, anakunywa kisha anarudi kulala,
 
Ni kawaida sana ndugu. Mimi wife kwenye ujauzito wake wa kwanza alikua ananiambia ninayka jasho sana. Yani ananiambia jasho lako linanuka silitaki 😄

Nilikua najitahidi kabla ya kulala naoga vizuri kabisa lkn anasema bado nanuka. Nikisema nitumie pafyum ndo hataki harufu yoyote ya pafyum. Sasa ilifikia hatua akawa ananipisha mimi anaenda kulala chumba cha wageni. Basi nikaona isiwe shida nikaamua kumuachia chumba, mimi ndo nikawa naenda kulala chumba cha wageni.

Sitting room nikimsogelea tu ananiambia ina maana wee hujisikiii kama unanuka jasho 😄.. ilikua ni songombingo ndani humo.

Kwenye issue ya sex wala sikupata shida sana maana nilitafuta nchepuko wa kudumu nikawa najipigia, yani kila weekend nina uhakika wa kula tunda.

Lakn baada ya kujifungua maisha yaliendelea vzr tu, hata jasho siku hizi sinusitis tena 😄

Vumilia ndugu
Binafsi naona kuna kiburi ndani yale.
 
Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,

1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story

2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.

3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.

4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.

Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Lazima kujifunza woman psychology, otherwise ndoa haiwezi kwenda. Kuna rafiki yangu alikuwa ananisimulia kwamba kulala na mke wake mpaka atumie nguvu. Vinginevyo, unaweza kupita hata mwaka au zaidi. Mwanzoni sikujua, lakini kwa vile huwa napenda kudadisi nikajifunza kwamba, mambo haya yanapotokea si kwa makusudi. Ni kwa sababu feelings hazipo. Na huwa inatokea zaidi kwa wanawake ambao Wana 'hormonal imbalance' nadhani inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma na zinc mwilini. Kwa hiyo, wakati mwingine tunaishia kuwalaumu, kuchepuka na hata kuoa mke wa pili kwa kudhani "mke wangu ananinyima unyumba." Na ikitokea hivyo, mwanamke anakuwa 'depressed' kwa sababu ana'feel' kwamba huenda unaona hatoshi etc. akina mama wengi ni waziri kwa mambo haya kama vile sisi tunavyokuwa wasiri ikitokea Mzee anashindwa kuwa firm enough ku'penetrate'. Nani huwa anamshidikisha mke wake, kwa mfano, kwamba "naona siku hizi naishiwa nguvu za kiume?" Udadisi wangu (kwa vile Niko very skilled katika hili) huwa najifunza mengi, ambayo wenzangu wengi hawayajui. Namshukuru Mungu! Na hii ni kwa sababu I'm naturally a psychologist.
 
Lazima kujifunza woman psychology, otherwise ndoa haiwezi kwenda. Kuna rafiki yangu alikuwa ananisimulia kwamba kulala na mke wake mpaka atumie nguvu. Vinginevyo, unaweza kupita hata mwaka au zaidi. Mwanzoni sikujua, lakini kwa vile huwa napenda kudadisi nikajifunza kwamba, mambo haya yanapotokea si kwa makusudi. Ni kwa sababu feelings hazipo. Na huwa inatokea zaidi kwa wanawake ambao Wana 'hormonal imbalance' nadhani inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma na zinc mwilini. Kwa hiyo, wakati mwingine tunaishia kuwalaumu, kuchepuka na hata kuoa mke wa pili kwa kudhani "mke wangu ananinyima unyumba." Na ikitokea hivyo, mwanamke anakuwa 'depressed' kwa sababu ana'feel' kwamba huenda unaona hatoshi etc. akina mama wengi ni waziri kwa mambo haya kama vile sisi tunavyokuwa wasiri ikitokea Mzee anashindwa kuwa firm enough ku'penetrate'. Nani huwa anamshidikisha mke wake, kwa mfano, kwamba "naona siku hizi naishiwa nguvu za kiume?" Udadisi wangu (kwa vile Niko very skilled katika hili) huwa najifunza mengi, ambayo wenzangu wengi hawayajui. Namshukuru Mungu! Na hii ni kwa sababu I'm naturally a psychologist.
naweza kupima iyo madini?
 
Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito,

1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua twafanya, hakuna story

2. Hata akipika sasa siitwi tena anaweka anakula unakuta tu chakula mezani.

3. Namajibu ya shombo na hana hata woga wa kunijibu.

4. Ni mwezi sasa hataki sex kabisa.

Hii ni mimba kweli au kukomoana tu?
Labda mke wako ni wa aina ya wale wanyama wanaosikia hamu wajati wanatafuta ujauzito. Chunguza au ona madaktari. Binadamu kila mmoja yuko tofauti na mwingine. Wengine wakiwa ktk siku zao ni visirani vitupu. Wanajichukua na hata kuwachukia wengine. Huyo wako subiri ajifungue mtoto akue ataanza kukutafuta mwenyewe. KUWA MVUMULIVU. SIO LAZIMA KUFANYA HATA KWA MIAKA MIWILI HUTAPATA UGONJWA WOWOTE KWA KUSUBIRI
 
Ni kawaida sana ndugu. Mimi wife kwenye ujauzito wake wa kwanza alikua ananiambia ninayka jasho sana. Yani ananiambia jasho lako linanuka silitaki 😄

Nilikua najitahidi kabla ya kulala naoga vizuri kabisa lkn anasema bado nanuka. Nikisema nitumie pafyum ndo hataki harufu yoyote ya pafyum. Sasa ilifikia hatua akawa ananipisha mimi anaenda kulala chumba cha wageni. Basi nikaona isiwe shida nikaamua kumuachia chumba, mimi ndo nikawa naenda kulala chumba cha wageni.

Sitting room nikimsogelea tu ananiambia ina maana wee hujisikiii kama unanuka jasho 😄.. ilikua ni songombingo ndani humo.

Kwenye issue ya sex wala sikupata shida sana maana nilitafuta nchepuko wa kudumu nikawa najipigia, yani kila weekend nina uhakika wa kula tunda.

Lakn baada ya kujifungua maisha yaliendelea vzr tu, hata jasho siku hizi sinusitis tena 😄

Vumilia ndugu
Alijifungua mtoto wa jinsi gani maana nasikia watoto wa kiume ndo inakuwa hivyo ila wakike anakupenda anaweza shinda amevaa nguo zako
 
Back
Top Bottom