Tangu mwezi uliopita nywele za mbele zimeanza kuwa chache. Naomba kujuzwa mafuta au dawa itakayonisaidia

Tangu mwezi uliopita nywele za mbele zimeanza kuwa chache. Naomba kujuzwa mafuta au dawa itakayonisaidia

Wakuu habari za majukumu nina ombwa kujuzwa kama kuna mafuta au dawa yoyote inayoweza kujaza nywele kichwani.

Mimi ni kajana wa miaka 24+ ila naona kuanzia mwezi uliopita kama nywele za mbele zimeanza kuwa chache sasa sijui shida nini yani nikiangalia nywele za kuanzia robo tatu ya kichwa kurudi nyuma ni nyingi kuliko robo iliyobaki yani nywe za mbele nichache wakati nilizinyoa kwa pamoja. So nilikuwa naomba kama kuna mafuta au dawa yanayoweza kunisaidia kukuza na kujaza nywele naombeni mnijuze.

Na kama ni dalili za upara naombeni mnijuze nini cha kufanya kuepukana na adha hiyo aisee wengine sisi tuna vichwa virefu kama treni tukinyoa madongo itakuwa vituko yani huo muonekanl wetu utatisha naombeni msaada ndugu zangu.

View attachment 3052729
From experience hizo nywele unazi kirimu..

Acha Mara moja kuzikirimu (kuzipolishi) izo nywele zitakaa sawa..
 
Unahangaika tu kaka, kama kipo kwenye, Genes zenu hata ufanye nini kitakuja tu

Na usijiroge kuanza kuvaa kofia maana hapo ndipo kitaongezeka maradufu

Naelewa hizo ni insecurities tu za mwanzoni maana issue kubwa hata sio kichwa ila unaona ujana utakupita. Na kweli utakupita ila jikubali tu. Watu baada ya muda watakuzoea
 
Sababu chache ambazo zinaweza kua ndio sababu kuu za kupoteza nywele Hair loss,

  1. Stress,punguza fikra kwa kufikiri sana,pia kuna baadhi ya magonjwa husababisha hair loss,
  2. Vitamin deficiency,Nutrition deficiences zinaweza pia kusababisha hair loss,kama vile upungufu wa madini ya chuma ,
  3. Thyroid disease,huu ugonjwa husababisha your tyroid to make either too much or too little of the harmones,
  4. Hormone imbalance,
  5. Matumizi ya madawa ya matibabu Pharmaceutical drug,
  6. Ageing Umri,
  7. Alopecia areata,hii hutokea pale the immune system attacks hair follicles na kusababisha hair loss,
  8. Chemotherapy,matibabu ya cancer ambayo hutumika njia ya kudestroy cancer cells na kuzuwia tumor growth,
  9. Genetic
  10. Birth control pills,
  11. Cancer
  12. Diet
  13. Infection....

Ili kuzuwia nywele zako zisiendelee kupotea,fanya haya,

  1. Fanya massage ya kichwa Sculp massage
  2. Usafi wa kichwa care of ur scalp
  3. Punguza stress
  4. Punguza uvutaji sigara au acha kabisa
  5. Diet,jaribu kula balanced diet,
  6. Tumia essential oils,hii husaidia kubust hair growth,unapopakaa hakikisha unasugua kichwa Scalp
  7. Tumia multivitamins,
  8. Kula sana ptotein,
  9. linda nywele zako kupatwa na heat kwa muda mrefu,
  10. Tumia mafuta ya nazi pia kwa kusugua kwenye kichwa husaidia kuzifanya nywele kua imara zaidi
 
Sababu chache ambazo zinaweza kua ndio sababu kuu za kupoteza nywele Hair loss,

  1. Stress,punguza fikra kwa kufikiri sana,pia kuna baadhi ya magonjwa husababisha hair loss,
  2. Vitamin deficiency,Nutrition deficiences zinaweza pia kusababisha hair loss,kama vile upungufu wa madini ya chuma ,
  3. Thyroid disease,huu ugonjwa husababisha your tyroid to make either too much or too little of the harmones,
  4. Hormone imbalance,
  5. Matumizi ya madawa ya matibabu Pharmaceutical drug,
  6. Ageing Umri,
  7. Alopecia areata,hii hutokea pale the immune system attacks hair follicles na kusababisha hair loss,
  8. Chemotherapy,matibabu ya cancer ambayo hutumika njia ya kudestroy cancer cells na kuzuwia tumor growth,
  9. Genetic
  10. Birth control pills,
  11. Cancer
  12. Diet
  13. Infection....

Ili kuzuwia nywele zako zisiendelee kupotea,fanya haya,

  1. Fanya massage ya kichwa Sculp massage
  2. Usafi wa kichwa care of ur scalp
  3. Punguza stress
  4. Punguza uvutaji sigara au acha kabisa
  5. Diet,jaribu kula balanced diet,
  6. Tumia essential oils,hii husaidia kubust hair growth,unapopakaa hakikisha unasugua kichwa Scalp
  7. Tumia multivitamins,
  8. Kula sana ptotein,
  9. linda nywele zako kupatwa na heat kwa muda mrefu,
  10. Tumia mafuta ya nazi pia kwa kusugua kwenye kichwa husaidia kuzifanya nywele kua imara zaidi
Mkuu kumbe kwenye hii field upo vizuri 👏🏾

Ila asisahau kutoacha nywele ikiwa kavu sana muda mrefu maana huwa inakatika
 
Sababu chache ambazo zinaweza kua ndio sababu kuu za kupoteza nywele Hair loss,

  1. Stress,punguza fikra kwa kufikiri sana,pia kuna baadhi ya magonjwa husababisha hair loss,
  2. Vitamin deficiency,Nutrition deficiences zinaweza pia kusababisha hair loss,kama vile upungufu wa madini ya chuma ,
  3. Thyroid disease,huu ugonjwa husababisha your tyroid to make either too much or too little of the harmones,
  4. Hormone imbalance,
  5. Matumizi ya madawa ya matibabu Pharmaceutical drug,
  6. Ageing Umri,
  7. Alopecia areata,hii hutokea pale the immune system attacks hair follicles na kusababisha hair loss,
  8. Chemotherapy,matibabu ya cancer ambayo hutumika njia ya kudestroy cancer cells na kuzuwia tumor growth,
  9. Genetic
  10. Birth control pills,
  11. Cancer
  12. Diet
  13. Infection....

Ili kuzuwia nywele zako zisiendelee kupotea,fanya haya,

  1. Fanya massage ya kichwa Sculp massage
  2. Usafi wa kichwa care of ur scalp
  3. Punguza stress
  4. Punguza uvutaji sigara au acha kabisa
  5. Diet,jaribu kula balanced diet,
  6. Tumia essential oils,hii husaidia kubust hair growth,unapopakaa hakikisha unasugua kichwa Scalp
  7. Tumia multivitamins,
  8. Kula sana ptotein,
  9. linda nywele zako kupatwa na heat kwa muda mrefu,
  10. Tumia mafuta ya nazi pia kwa kusugua kwenye kichwa husaidia kuzifanya nywele kua imara zaidi
Ahsante mkuu kwa mawazo yako
 
Unahangaika tu kaka, kama kipo kwenye, Genes zenu hata ufanye nini kitakuja tu

Na usijiroge kuanza kuvaa kofia maana hapo ndipo kitaongezeka maradufu

Naelewa hizo ni insecurities tu za mwanzoni maana issue kubwa hata sio kichwa ila unaona ujana utakupita. Na kweli utakupita ila jikubali tu. Watu baada ya muda watakuzoea
Shukran sana kiongoz nimekuelewa vema
 
Back
Top Bottom