Tangu mwezi uliopita nywele za mbele zimeanza kuwa chache. Naomba kujuzwa mafuta au dawa itakayonisaidia

Tangu mwezi uliopita nywele za mbele zimeanza kuwa chache. Naomba kujuzwa mafuta au dawa itakayonisaidia

Wakuu habari za majukumu nina ombwa kujuzwa kama kuna mafuta au dawa yoyote inayoweza kujaza nywele kichwani.

Mimi ni kajana wa miaka 24+ ila naona kuanzia mwezi uliopita kama nywele za mbele zimeanza kuwa chache sasa sijui shida nini yani nikiangalia nywele za kuanzia robo tatu ya kichwa kurudi nyuma ni nyingi kuliko robo iliyobaki yani nywe za mbele nichache wakati nilizinyoa kwa pamoja. So nilikuwa naomba kama kuna mafuta au dawa yanayoweza kunisaidia kukuza na kujaza nywele naombeni mnijuze.

Na kama ni dalili za upara naombeni mnijuze nini cha kufanya kuepukana na adha hiyo aisee wengine sisi tuna vichwa virefu kama treni tukinyoa madongo itakuwa vituko yani huo muonekanl wetu utatisha naombeni msaada ndugu zangu.

Wakuu habari za majukumu nina ombwa kujuzwa kama kuna mafuta au dawa yoyote inayoweza kujaza nywele kichwani.

Mimi ni kajana wa miaka 24+ ila naona kuanzia mwezi uliopita kama nywele za mbele zimeanza kuwa chache sasa sijui shida nini yani nikiangalia nywele za kuanzia robo tatu ya kichwa kurudi nyuma ni nyingi kuliko robo iliyobaki yani nywe za mbele nichache wakati nilizinyoa kwa pamoja. So nilikuwa naomba kama kuna mafuta au dawa yanayoweza kunisaidia kukuza na kujaza nywele naombeni mnijuze.

Na kama ni dalili za upara naombeni mnijuze nini cha kufanya kuepukana na adha hiyo aisee wengine sisi tuna vichwa virefu kama treni tukinyoa madongo itakuwa vituko yani huo muonekanl wetu utatisha naombeni msaada ndugu zangu.

View attachment 3052729
Nilidhan za mbele CHINI kumbe juu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwishaaa habari yako ..
Oky ,, hicho ni kipara mkuu
Sasa hicho huwa hakikubari
Kushindwa kabisaa,, yaani
Kadri unavyozidi kupambana
Nacho ndiyo kinavyoongezeka

Mimi kilianza miaka 22 tu ngoma
Nyuma ya kisogo ilikuwa inang'aa
Si mchezo ,, afu enzi hizo kiduku
Ndiyo kimeingia , aisee niliumia sana
Nilijaribu kuzibembeleza nywele lakin
wapi ,, ukweli nilikuwa nakichukia sana

Sasa hatua zipi nilizichukua ..

1)Nilikubali matokea kuwa ninacho
ni changu ,, hakuna namna nitafanya
Kitoke ,,lakin kwasababu nywele zime-
goma kuota ,, basi sikuzitaka tena
Kichwani mwangu ( nilizisusa nywele)
Ilikuwa ni mwendo wa upara tuu ,,

2) nilinunua homecutting mashine

Kama nilivyosema hapo juu niliamua
ni mwendo wa dongo tuu, lakini sasa
Ningetimizavipi hili? Kunyoa kila baada ya siku 3 ,je gharama zake
ningeweza ?? ,,, Jibu hapana ,, sasa
wazo likanijia nikanunua mashine
yangu ,, niwe najinyoa mwenyewe tu
gheto ,, mwanzoni nilikuwa najikosea
mara kadhaa ningenyoa na kuacha
nywele kichogoni,, watu walinishanga
a sana na kuniuliza '' mmea kinyozi gani
huyu kakunyoa ??"
Sikujali sana walipo niuliza, kuliko
kukiacha kipara kile kionekane ,, kwangu ilikuwa ni maumivu makubwa
ila baadae niliweza ,, hivyo na wewe
ukiwa na nia utaweza tu ,, hakuna
Linaloshindikana

MATOKEO

1) kidogo ,, confidence iliweza kurudi
sasa nilianza kujiamini ,,ilipita hata
siku 3 au 4 ,, bila kujiangalia kwenye
Kioo,,

2) Nilianza kupata totoz ,, zilizonipenda kwa vile nilivyokuwa naonekana ,, ili
Kunogesha zaidi ,, nilikuwa napigili
Suti wanasheria wakasome plus
miwani juu michomekeo ,, yani most of the time ,, nilijiweka kiofisi ofisi japo ni jobless ..

3) ilibidi nijitenge fulani hivi na wana ,,
Siunajua tena mkuu kipara soo ,,
Mkipishana na mtu kwa hoja kidogo
Tu utasikia jamaa ana sema

" Msikilizeni naye huyu ,,, kipara kikubw
nikajua anaakili kumbe hamna kitu"🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ukweli ,, kauli hizi hazivumiliki ,, lakn
nilikuwa najitahidi kutokuonesha kwa
Kujifanya kila kitu kipo fine but deep in
Side my heart, i was bleeding and crying ,, na pindi
nilipotoka hapo ,, nilihakikisha huyo
Mtu siji kuwa naye karibu kwa namna
yoyote ile ,, mtindo huu wa maisha
umenifanya niwe na marafiki wacha-
che mnoo ,, pengine ndiyo maana
Nipo humu jamiifurum leo .

4) umri uliposegea kidogo ,, Kweli ilikuwa kazi sana kupata totozi ,, maana nyingi ,, ziliponingalia vzr ,, ziliniambia
"ujue wewe unaonekana mkubwa san" na hata sikujisumbua kujielezea ,, nilijua ni kipara nilichonacho ndiyo ,, kinapelekea wanaione hivyo

Halii hii ilipelekea nianze kuwa muongo
Ndiyo ,, nilidanganya sana juu ya umri
Wangu ,,. Kupata mwanamke nilianza kutumia nguvu kidogo kama vile pesa
na hata nilipokubaliwa sikudumu kwenye hayo mahusiano ,, maana nilijua fika muonekano wangu hauja
Mvutia muhusika
na pindi nilipofikiria sana juu
ya future yangu hasa ,kimahusiano ,,
Nikaona nione tu ..

Mwisho kabisa ,,, jamii za kiafrica ,, kipara kwao ni ishara ya uzee ,, hivyo inabidi upiganishe sana uweke mambo sawa ,, nje na hapo unaweza kujikuta unakufa kwa sonona au unamkufuru mwenyezi mungu kwa
namna alivyokuumba .

Huku nacheka huku nakuonea huruma, dah aisee kipara kimegeuza mfumo wote wa maisha yako. Ila kwa wengine mbona sioni hiki kuwakosesha marafiki mademu na kujichanganya? Inaonekana mapokezi yako yalikuwa kwa mshtuko na hukua unawaza kuna siku waweza kupata upara...
 
Huku nacheka huku nakuonea huruma, dah aisee kipara kimegeuza mfumo wote wa maisha yako. Ila kwa wengine mbona sioni hiki kuwakosesha marafiki mademu na kujichanganya? Inaonekana mapokezi yako yalikuwa kwa mshtuko na hukua unawaza kuna siku waweza kupata upara...
Mkuu ,, kiliana kutamadadi hasa nikiwa chuo mwaka wa wapili,, kila niliopeenda ungesikia mtu akiniambia


" eehh afu we jamaa uwalaza unakujia kwa kasi sana ,,,"

kauli hizi zilipelekea nikose raha na nianze kuangaika nacho ... Bila ya matumaini yoyote ...

Nilipotoka chuo na kuingia mtaani ,,, huku ndiyo nilikutana na balaa ,, mtu akiona unamzidia kwa hoja basi anakuattack juu ya vile unavyoonekana ,, kama
Ujuavyo wengine ugomvi hatupendi
Unaamua tu kutafuta solution ya kudumu .. na kuamua kuishi kivyako vyako ,,, unatoka mishe mishe ndani ,, a circle of only few friends ambao mnaheshimiana ,, hivyo maisha yanakuwa burudani kabisaa
 
Wakuu habari za majukumu nina ombwa kujuzwa kama kuna mafuta au dawa yoyote inayoweza kujaza nywele kichwani.

Mimi ni kajana wa miaka 24+ ila naona kuanzia mwezi uliopita kama nywele za mbele zimeanza kuwa chache sasa sijui shida nini yani nikiangalia nywele za kuanzia robo tatu ya kichwa kurudi nyuma ni nyingi kuliko robo iliyobaki yani nywe za mbele nichache wakati nilizinyoa kwa pamoja. So nilikuwa naomba kama kuna mafuta au dawa yanayoweza kunisaidia kukuza na kujaza nywele naombeni mnijuze.

Na kama ni dalili za upara naombeni mnijuze nini cha kufanya kuepukana na adha hiyo aisee wengine sisi tuna vichwa virefu kama treni tukinyoa madongo itakuwa vituko yani huo muonekanl wetu utatisha naombeni msaada ndugu zangu.

View attachment 3052729
Tobaa 🫢 🫢 🫢
 
Back
Top Bottom