Habari kwamba Rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.
Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.
Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.
Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.
Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.
Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.
Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.
Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.
Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.
Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.