Tangu mzee Makamba ahutubie pale Dodoma, walinzi wa legacy wanaweweseka sana

Tangu mzee Makamba ahutubie pale Dodoma, walinzi wa legacy wanaweweseka sana

Habari kwamba rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.

Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.

Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.

Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.

Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.

Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
Wewe na Makamba mnachojua ni uchawi,fitina huna jipya gay waheed
 
Habari kwamba rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.

Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.

Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.

Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.

Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.

Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
Mpaka leo Lisu ameolewa na Amsterdam
 
Mbona unaeteseka ni wewe!

Magufuli alikubutua kiasi cha umeshindwa kumsahau kabisa
 
Habari kwamba rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.

Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.

Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.

Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.

Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.

Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
FB_IMG_1670769943219.jpg
 
Mleta uzi ni sexless. Kwenye utambulisho Ulaya siku hizi wana Male, Female na any other(specify)
 
Hivi zile pesa zetu sisi tulio forge vyeti aka vyeti fake wanatulipa lini?
 
Habari kwamba rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.

Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.

Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.

Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.

Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.

Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
Pima akili zako.
 
Hata Hitler bado anatajwa
Kwa TZ ya sasa mtu kama Hitler ni muhimu sana kuiongoza nchi hii
Kila mtu sasa anachukua chake mapema ikifika 2030 kila kitu kitakuwa mikononi mwa wachache na watawala
 

Attachments

  • IMG_6820.MP4
    7.6 MB
Habari kwamba rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai.

Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa kimya hakuna wa kumkosoa wala kumsema vibaya. Aliyethubutu alikiona cha mtema kuni.

Akaeneza propaganda kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge. Media zikauhubiri wema huu kwa nguvu na umma ukaaminishwa hivyo.

Alipofariki, futuhi kila aina zikaandaliwa ili kuendelea kuuaminisha umma kuwa alikuwa mtu wa watu.

Muda wote huo wafuasi wake waliamini wamefanikiwa kupandikiza hiyo imani potofu kuwa Magufuli alikuwa mtu wa watu.

Hotuba ya juzi ya mzee Makamba imewavuruga akili na sasa wanawaza watatoka vipi kwenye kadhia hii inayofuta kabisa legacy ya Magufuli. Wanaweweseka hawajui wafanye nini.
Mjinga tu. Hapo unaona legacy ya magufuli imefutwa na huyo mzee toboatobo. Au huelewi maana ya legacy.
 
Back
Top Bottom