Tangu Nandy aanze kumlisha Bill Nass, Bill Nass kaanza kunenepa

Tangu Nandy aanze kumlisha Bill Nass, Bill Nass kaanza kunenepa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ama kweli duniani hakuna mwembamba, Bill Nass tangu aanze kupiga mboga saba(msosi kama anasukuma kete za drafti) kwanza kunenepa, hakuna mwembamba dunia hii.

Kamanda ana kazi ya kulala na kushika rimoti, bibie ana nyota ya Uingereza hata akishika jiwe linakuwa dhahabu.

Hongera Nandy kwa kuanza ufugaji
 
Back
Top Bottom