Nenga km NengaHaters gon' hate.
Before Nandy alikuwa Hali Wala hanywi?
Acha majungu dume zimaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenga km NengaHaters gon' hate.
Before Nandy alikuwa Hali Wala hanywi?
Acha majungu dume zimaaaa.
Nas Kama NasNenga km Nenga
Kampani yote ni wauza ungaIla huyu Bilnas mi mwenzenu namuonaga kama teja.
Asuse kisa maneno, hapo mbona atakuwa boya.Sasa huoni kama unamtia nuksi msichana wa watu!
Mwishowe asiolewe maana kwa upupu huu wa maneno, wanaume wanaacha kuoa kisa maneno yenu machafu kuogopa kusemwa.
Uzi kama huu bila ya picha ni nothing!
Weee umeona kuna ndoa pale? Mama mkwe mwenyewe alisema habari ya ndoa kwa mwanae bado saaaana!Sasa huoni kama unamtia nuksi msichana wa watu!
Mwishowe asiolewe maana kwa upupu huu wa maneno, wanaume wanaacha kuoa kisa maneno yenu machafu kuogopa kusemwa.
Dawa tenaHata nandy kanenepa nae si haba. Itakua dawa zimewakubali.
Daaa maisha haya, kutoka katoka na katolewa haswa kumbe majuto, mtoto bado mdogo, huyu bwana kutaka mtelemko kajirudisha, udaku wa zamani walikuwa hawajajua boss aliwaka yule.Hata nandy kanenepa nae si haba. Itakua dawa zimewakubali.
Maisha yenyewe mafupi Acha Ale maisha bwana kwani ukimwi kitu gani mbona watu wanaishi nao tuu... watu wamehassle mpaka wanazeeka na kuwaka wamewaka na hizo hela za nandy hawajashikaDaaa maisha haya, kutoka katoka na katolewa haswa kumbe majuto, mtoto bado mdogo, huyu bwana kutaka mtelemko kajirudisha, udaku wa zamani walikuwa hawajajua boss aliwaka yule.
Mfano wewe au Mimi unajua kabisa yule mgonjwa kwakua boss unamkubari, wengi wao wanakuwa hawajua unakuja kujua tayar .umeingia kingi, kwa upande wako hupo sawa sija kupinga , na sipo kupinga maneno ya mtu.Maisha yenyewe mafupi Acha Ale maisha bwana kwani ukimwi kitu gani mbona watu wanaishi nao tuu... watu wamehassle mpaka wanazeeka na kuwaka wamewaka na hizo hela za nandy hawajashika
maana unaweza ukapata ukimwi kwa mtu ambae hana kitu ukabaki na maradhi na hela huna!
Maisha yenyewe haya ya uchumi wa kati wa kwenye Media huko na kwenye takwimu?!! Ukipata mteremko unashuka nao tuu hayo mambo yakuungua ni Ajali kazini!
Wanatumia dawa za kunenepesha???Hata nandy kanenepa nae si haba. Itakua dawa zimewakubali.