Tangu nianze kutumia JF sikuwahi kununua gazeti

Tangu nianze kutumia JF sikuwahi kununua gazeti

Munguwetu

Member
Joined
Dec 13, 2022
Posts
87
Reaction score
80
Ndio hivyo.

Screenshot_20230105-074700.jpg


Napata habari za siasa.
Napata habari za sports.

Napata habari udaku.
Napata habari za umbea gossip.
Napata habari zaidi ya kwenye magazeti.

Screenshot_20230105-074641.jpg

Tena news ambazo ni hotnews
 
Kuna makala na habari zingine haziletwi mitandaoni, zinapatikana magazetini. Kwa hiyo magazeti bado yanahitajika kununuliwa
 
Back
Top Bottom