Munguwetu Member Joined Dec 13, 2022 Posts 87 Reaction score 80 Jan 5, 2023 #1 Ndio hivyo. Napata habari za siasa. Napata habari za sports. Napata habari udaku. Napata habari za umbea gossip. Napata habari zaidi ya kwenye magazeti. Tena news ambazo ni hotnews
Ndio hivyo. Napata habari za siasa. Napata habari za sports. Napata habari udaku. Napata habari za umbea gossip. Napata habari zaidi ya kwenye magazeti. Tena news ambazo ni hotnews
Munguwetu Member Joined Dec 13, 2022 Posts 87 Reaction score 80 Jan 5, 2023 Thread starter #2 Hapa ni akili tu kuchuja ichukue habari ipi
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 18,611 Reaction score 27,615 Jan 5, 2023 #3 Kuna makala na habari zingine haziletwi mitandaoni, zinapatikana magazetini. Kwa hiyo magazeti bado yanahitajika kununuliwa
Kuna makala na habari zingine haziletwi mitandaoni, zinapatikana magazetini. Kwa hiyo magazeti bado yanahitajika kununuliwa
marehem x JF-Expert Member Joined Dec 28, 2022 Posts 513 Reaction score 792 Jan 5, 2023 #4 Inaweza Ikawa mm nadhirishwa na jf