Tangu nifanikiwe kupata kipato cha ndoto zangu nimekua bahili hadi najiogopa

Tangu nifanikiwe kupata kipato cha ndoto zangu nimekua bahili hadi najiogopa

Mbwichichi

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2018
Posts
297
Reaction score
1,687
Mimi Mbwichichi nafahamika na baadhi ya watu humu kutokana na historia yangu ya upambanaji katika kutafuta riziki.

Kwa miaka mingi sana nimekua napambana kupata pesa,lakini hustle nyingi za wakati huo zilikua za kupata pesa ya mboga tu…lakini nilikua nina tamaa ya kupata kila kitu,gheto kwangu kulikua na kila kitu ambacho kijana anatakiwa kuwa nacho lakini ilikua inaniacha nikiwa sina hata pesa ya akiba…kuna wakati nilikua nalazimika hadi kukopa nauli ya kwendea kazini au nalazimika kutembea kwa miguu.

Ilikua kazini unaenda kukopa pesa hata shilingi 2000 ili familia iweze kuweka kitu tumboni.

Mungu si athumani…..nimefanikiwa kupata kile ambacho nilikua nakipambania,sasa hivi alhamdullilah naweza pata kila ninachotana.

Lakini sasa habari imekua tofauti…..nimekua bahili mno,huwezi amini siwezi hata kujinunulia nguo zangu,ninazovaa ni chache na zimeshazoeleka saaaana….naweza ondoka home kwenda dukani na ninaishia kununua maji ya kunywa halafu nageuka nyumbani.

Siwezi tena kununua zile luxuries kama zamani….nawaza kutoa 1m kwa ajili ya kununua TV wakati ninayo tayari ila outdated kidogo.

Yaani pesa inaniuma vibaya mno…napenda tu kuona ikizungua ile jioni kuletewa mauzo na kudeposit na kuzitoa benk,hiyo tu unatosha kunipa furaha.

Je hii ni kawaida?
 
Mimi Mbwichichi nafahamika na baadhi ya watu humu kutokana na historia yangu ya upambanaji katika kutafuta riziki.

Kwa miaka mingi sana nimekua napambana kupata pesa,lakini hustle nyingi za wakati huo zilikua za kupata pesa ya mboga tu…lakini nilikua nina tamaa ya kupata kila kitu,gheto kwangu kulikua na kila kitu ambacho kijana anatakiwa kuwa nacho lakini ilikua inaniacha nikiwa sina hata pesa ya akiba…kuna wakati nilikua nalazimika hadi kukopa nauli ya kwendea kazini au nalazimika kutembea kwa miguu.

Ilikua kazini unaenda kukopa pesa hata shilingi 2000 ili familia iweze kuweka kitu tumboni.

Mungu si athumani…..nimefanikiwa kupata kile ambacho nilikua nakipambania,sasa hivi alhamdullilah naweza pata kila ninachotana.

Lakini sasa habari imekua tofauti…..nimekua bahili mno,huwezi amini siwezi hata kujinunulia nguo zangu,ninazovaa ni chache na zimeshazoeleka saaaana….naweza ondoka home kwenda dukani na ninaishia kununua maji ya kunywa halafu nageuka nyumbani.

Siwezi tena kununua zile luxuries kama zamani….nawaza kutoa 1m kwa ajili ya kununua TV wakati ninayo tayari ila outdated kidogo.

Yaani pesa inaniuma vibaya mno…napenda tu kuona ikizungua ile jioni kuletewa mauzo na kudeposit na kuzitoa benk,hiyo tu unatosha kunipa furaha.

Je hii ni kawaida?
Siri ya utajiri ni ubahili-
 
Mimi Mbwichichi nafahamika na baadhi ya watu humu kutokana na historia yangu ya upambanaji katika kutafuta riziki.

Kwa miaka mingi sana nimekua napambana kupata pesa,lakini hustle nyingi za wakati huo zilikua za kupata pesa ya mboga tu…lakini nilikua nina tamaa ya kupata kila kitu,gheto kwangu kulikua na kila kitu ambacho kijana anatakiwa kuwa nacho lakini ilikua inaniacha nikiwa sina hata pesa ya akiba…kuna wakati nilikua nalazimika hadi kukopa nauli ya kwendea kazini au nalazimika kutembea kwa miguu.

Ilikua kazini unaenda kukopa pesa hata shilingi 2000 ili familia iweze kuweka kitu tumboni.

Mungu si athumani…..nimefanikiwa kupata kile ambacho nilikua nakipambania,sasa hivi alhamdullilah naweza pata kila ninachotana.

Lakini sasa habari imekua tofauti…..nimekua bahili mno,huwezi amini siwezi hata kujinunulia nguo zangu,ninazovaa ni chache na zimeshazoeleka saaaana….naweza ondoka home kwenda dukani na ninaishia kununua maji ya kunywa halafu nageuka nyumbani.

Siwezi tena kununua zile luxuries kama zamani….nawaza kutoa 1m kwa ajili ya kununua TV wakati ninayo tayari ila outdated kidogo.

Yaani pesa inaniuma vibaya mno…napenda tu kuona ikizungua ile jioni kuletewa mauzo na kudeposit na kuzitoa benk,hiyo tu unatosha kunipa furaha.

Je hii ni kawaida?
Wewe upo kipato Cha wastani wewe Huna pesa yeyote maana wewe huwezi nunua gari ya 200m

Wewe upo kwenye group la maskini wachangamfu.
 
Mimi Mbwichichi nafahamika na baadhi ya watu humu kutokana na historia yangu ya upambanaji katika kutafuta riziki.

Kwa miaka mingi sana nimekua napambana kupata pesa,lakini hustle nyingi za wakati huo zilikua za kupata pesa ya mboga tu…lakini nilikua nina tamaa ya kupata kila kitu,gheto kwangu kulikua na kila kitu ambacho kijana anatakiwa kuwa nacho lakini ilikua inaniacha nikiwa sina hata pesa ya akiba…kuna wakati nilikua nalazimika hadi kukopa nauli ya kwendea kazini au nalazimika kutembea kwa miguu.

Ilikua kazini unaenda kukopa pesa hata shilingi 2000 ili familia iweze kuweka kitu tumboni.

Mungu si athumani…..nimefanikiwa kupata kile ambacho nilikua nakipambania,sasa hivi alhamdullilah naweza pata kila ninachotana.

Lakini sasa habari imekua tofauti…..nimekua bahili mno,huwezi amini siwezi hata kujinunulia nguo zangu,ninazovaa ni chache na zimeshazoeleka saaaana….naweza ondoka home kwenda dukani na ninaishia kununua maji ya kunywa halafu nageuka nyumbani.

Siwezi tena kununua zile luxuries kama zamani….nawaza kutoa 1m kwa ajili ya kununua TV wakati ninayo tayari ila outdated kidogo.

Yaani pesa inaniuma vibaya mno…napenda tu kuona ikizungua ile jioni kuletewa mauzo na kudeposit na kuzitoa benk,hiyo tu unatosha kunipa furaha.

Je hii ni kawaida?

Kama hauna malengo yoyote katika huo ubahili .Yaani unataka tu kuona hela ila hutaki kuzitumia bila sababu nyingine basi itakua una ugonjwa flani hiv.

Maana unatakiwa uwe na malengo flan ndani ya muda flan.labda unataka mtaji wako ufikie m150 au 200 baada ya muda flan
 
Mimi Mbwichichi nafahamika na baadhi ya watu humu kutokana na historia yangu ya upambanaji katika kutafuta riziki.

Kwa miaka mingi sana nimekua napambana kupata pesa,lakini hustle nyingi za wakati huo zilikua za kupata pesa ya mboga tu…lakini nilikua nina tamaa ya kupata kila kitu,gheto kwangu kulikua na kila kitu ambacho kijana anatakiwa kuwa nacho lakini ilikua inaniacha nikiwa sina hata pesa ya akiba…kuna wakati nilikua nalazimika hadi kukopa nauli ya kwendea kazini au nalazimika kutembea kwa miguu.

Ilikua kazini unaenda kukopa pesa hata shilingi 2000 ili familia iweze kuweka kitu tumboni.

Mungu si athumani…..nimefanikiwa kupata kile ambacho nilikua nakipambania,sasa hivi alhamdullilah naweza pata kila ninachotana.

Lakini sasa habari imekua tofauti…..nimekua bahili mno,huwezi amini siwezi hata kujinunulia nguo zangu,ninazovaa ni chache na zimeshazoeleka saaaana….naweza ondoka home kwenda dukani na ninaishia kununua maji ya kunywa halafu nageuka nyumbani.

Siwezi tena kununua zile luxuries kama zamani….nawaza kutoa 1m kwa ajili ya kununua TV wakati ninayo tayari ila outdated kidogo.

Yaani pesa inaniuma vibaya mno…napenda tu kuona ikizungua ile jioni kuletewa mauzo na kudeposit na kuzitoa benk,hiyo tu unatosha kunipa furaha.

Je hii ni kawaida?
Zidishavubunifu ,unaelekea pazuri hata kumzidi Dangote!
 
Back
Top Bottom