Tangu nimeanza kupiga mazoezi badala ya kupungua naongezeka uzito

Tangu nimeanza kupiga mazoezi badala ya kupungua naongezeka uzito

Malengo ni bora hata kama itakutesa vipi, on my side naweza kupungua mwili just 4 single day, nadhani ni mechanism ya Mwili wangu.
 
Umeongea fact kabisa I have lost so much fat na ngua zinanipwaya kilo zimebaki pale pale
 
Mwanaume anatakiwa apunguze kitambi na mafuta tuu then kaza misuli uzito huwa mara nyingi ni 70+
 
kwanza nikupongeze kwa dhati kuamua jambo jema!
lakini naomba nitumie ukurasa huu kutoa darasa,
YAPO MAZOEZI YA KUONGEZA UZITO NA PIA YAPO YA KUUNGUZA UZITO Mimi nafikiri tatizo lako hujafaham, yaani unaunguza na kuongeza pasipo kujua
mazoezi ya kupunguza UZITO ni kama kukimbia, kuruka kamba, kuogelea n.k
na mazoezi ya kuongeza ni kama ngumi,masumbwi,push up, kufanya mapenz n.k
kwa maelezo yako YAPO juu ni dhahili utakuwa unachanganya mazoezi,
pia inashauriliwa epuka kuvaa headphones wakati Wa mazoezi, inatamkwa mazoezi mazuri ni Yale ysnayofanyika ubongo ukiwa free kwa maana ya kufanya mazoezi tu
Sio mtaalamu sana wa kitengo cha mazoezi, ila naamini akili ndio kila kitu. Akili ikiwa tayari ikakubaliana na hicho ufanyacho (mazoezi) ina mchango mkubwa kupelekea mwili kupungua hapa wengi huilazimisha. Mwingine anafanya mazoezi akitegemea apungue ndani ya wiki moja, yaani unenepe ndani ya miaka kadhaa, kisha upungue ndani ya wiki!
 
Back
Top Bottom