Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
acha kabisa yaniiJiandikishe mama wasije kukufitini. Si unajua serekali yetu hii
Sema unatania....
siriaz mkuu. .. wameandika majina waliojiandikisha tayari eti unaandika hadi namba ya kujiandikisha kuwa ulijiandikisha ukiwa wangapi. .nami nikaandika tu jina badae tukaitwa kikao na kuambiwa hoi kauli haya majina mkurugenzi anayafuatilia ndo nami nikaenda
Cc Smart911