Tangu nitumie hizi dawa VIGOMAX uume wangu hausimami asubuhi kama ilivyo kawaida kwa wanaume

Tangu nitumie hizi dawa VIGOMAX uume wangu hausimami asubuhi kama ilivyo kawaida kwa wanaume

Walimwengu hebu kubalini majaaliwa yenu. Kama ilivyo kuna watu warefu na wafupi halkadhalika kuna wenyewe kwenda sekunde na kumaliza na wale wa kukaa kifuani masaa kama vile wanataka kujenga kwenye mwili wa mwenzao.

Papa haikomoleki, ile sehemu inatoka kichwa cha mwanadamu, unadhani utaweza ikomoa?

Mwanamke akiamua kuridhika hata kidole kinamridhisha tena kwa sekunde chache tu na akiamua kutoridhika hata umkokomeka masaa 5 mfululizo ataona kama unamtekenya tu.

Kitakwimu hasa, ili ionekane umemlala demu ni ndonga ikiingia kwenye tupu yake tu, haijalishi ni kwa sekunde ngapi. Hapo hata akikutangazia umekojoa ndani ya sekunde ukweli utabaki wakiitwa waliomlala na wewe umo.

Raha ya kujamiiana ni kufika mshindo. Sasa ikiwa unafika mshindo hata kwa dakika unahangaika nini juu ya kifua cha mwenzio???

Ikiwa kuna barabara shortcut ya kufika unakoelekea ya nini uzunguke ndugu??? Wewe ingia ndani chomeka, kojoa ndani ya sekunde, inuka ukung'ute kende na mluzi juu halafu sepa. Kama hajaridhika atatafuta kwa kumfikisha kipindi hicho wewe mwepesi na goli lako la sekunde.

Sasa kwa tamaa ya kudisa masaa umepoteza uwezo wako wa kudisa hata kwa sekunde. Pole mwamba, sasa hivi kama ni muislamu ingia kwenye usheikh utubu na kama mkristo okoka tu maana mashine imeshalala yoooo😂😂😂
huu ndio ukweli, kimaumbile tunatofautiana, turithike na vile tupo, tujiongeze tu kwenye mazoezi, kula kiafya na kujifunza mbinu nzuri za kumfurahisha baby.. ila mambo ya kudinda masaa 3 eti show show , au mambo ya kuongeza gobole wala haisaidii, maana mwanamke anaweza kuzoea show yyte ile, muhimu mfanye akupende ataridhika hata ukiweka kidole, ila ukienda kushindana na mahali anatoka mtoto, huwez shinda hyo vita, ni kujitafutia vifo, magonjwa sugu na ukibisa baada ya miaka michache
 
Mpaka mnaenda kula hayo madude mmekosa nini?

Hamridhiki na dudu kudinda natural.

Kama ulikuwa unahitaji nguvu zaidi ungebadili mfumo wa maisha kidogo tu zaidi kwenye chakula.
Alidhani hiyo ndio njia sahihi ya kumridhisha mdada wake.

Anywe maji ya moto yaliyowekewa karafuu, kitunguu maji, kitunguu saumu na pilipili, x3 kutwa, hasa kabla ya mlo
 
Msihangaike sana na NGUVU za KIUME.

Vijana wengi wanakufa,

Kijana mmoja alimeza Dawa mashine ikasimama Dede siku 3 bila KUSHUKA kwenda hospital ikabidi akatwe mshipa.

VIJANA ACHENI KUHANGAIKA NA NGUVU ZA KIUME.
CHAI
 
Vijana wa kiume jifunzeni kujilizisha nyie kwenye sex
Huwez lizisha wanawake sabu wanawake weng wameanza mapenzi wakiwa na umri mdgo na kushiriki napenzi na watu wa umri mkubwa sasa ww unapokuja unataka umlizishe mwanamke ndo apo mattzo yanapoanzia

Suala la nguvu za kiume ni uongo wanaume tuna nguvu sana ila ttzo ni dada zetu wameanza mapenzi wakiwa wadgo wamekomaa na kukubuhu
 
Madaktari na wataalamu wa afya naombeni msaada wenu tafadhali kabla sijatumia hizo dawa hapo nilikuwa vizuri tu nikiamka asubuhi nakuta mwamba kasimama dede.

Lakini tangu nitumie hizo dawa japo sikuzimaliza zote nilibakiza kama tano hivi baada ya kuona hiyo hali uume ulikuwa hausimami na mpaka leo uume hausimami kabisa asubuhi ni kwa nadra sanaaa

Naombeni msaada wakuu nifanyeje ili niweze kurudia kwenye hali yangu ya kawaida?
Msaada tafadhali wakuu. [emoji120]

View attachment 2706858
Ungeanza kujiweka karibu na Mungu kwa kufanya shughuli za kujitolea ndani ya jamii.
 
Vijana wa kiume jifunzeni kujilizisha nyie kwenye sex
Huwez lizisha wanawake sabu wanawake weng wameanza mapenzi wakiwa na umri mdgo na kushiriki napenzi na watu wa umri mkubwa sasa ww unapokuja unataka umlizishe mwanamke ndo apo mattzo yanapoanzia

Suala la nguvu za kiume ni uongo wanaume tuna nguvu sana ila ttzo ni dada zetu wameanza mapenzi wakiwa wadgo wamekomaa na kukubuhu
Watu wanajisokomeza midoli na matango halafu anakuja mtu anataka kushindana nayo.
 
Walimwengu hebu kubalini majaaliwa yenu. Kama ilivyo kuna watu warefu na wafupi halkadhalika kuna wenye kwenda sekunde na kumaliza na wale wa kukaa kifuani masaa kama vile wanataka kujenga kwenye mwili wa mwenzao.

Papa haikomoleki, ile sehemu inatoka kichwa cha mwanadamu, unadhani utaweza ikomoa?

Mwanamke akiamua kuridhika hata kidole kinamridhisha tena kwa sekunde chache tu na akiamua kutoridhika hata umkokomeka masaa 5 mfululizo ataona kama unamtekenya tu.

Kitakwimu hasa, ili ionekane umemlala demu ni ndonga ikiingia kwenye tupu yake tu, haijalishi ni kwa sekunde ngapi. Hapo hata akikutangazia umekojoa ndani ya sekunde ukweli utabaki wakiitwa waliomlala na wewe umo.

Raha ya kujamiiana ni kufika mshindo. Sasa ikiwa unafika mshindo hata kwa dakika unahangaika nini juu ya kifua cha mwenzio???

Ikiwa kuna barabara shortcut ya kufika unakoelekea ya nini uzunguke ndugu??? Wewe ingia ndani chomeka, kojoa ndani ya sekunde, inuka ukung'ute kende na mluzi juu halafu sepa. Kama hajaridhika atatafuta kwa kumfikisha kipindi hicho wewe mwepesi na goli lako la sekunde.

Sasa kwa tamaa ya kudisa masaa umepoteza uwezo wako wa kudisa hata kwa sekunde. Pole mwamba, sasa hivi kama ni muislamu ingia kwenye usheikh utubu na kama mkristo okoka tu maana mashine imeshalala yoooo😂😂😂
Mtu anatafuta dem kwa nyege zake, halafu akipewa anataka kuonyesha kuwa anatoa msaada wa kukata nyege za madem badala ya kushughulika na nyege zake binafsi.
 
Msihangaike sana na NGUVU za KIUME.

Vijana wengi wanakufa,

Kijana mmoja alimeza Dawa mashine ikasimama Dede siku 3 bila KUSHUKA kwenda hospital ikabidi akatwe mshipa.

VIJANA ACHENI KUHANGAIKA NA NGUVU ZA KIUME.
Wanatafuta heshima kwa 'bed'.....ila wanaishia kujiua.
 
Mtu anatafuta dem kwa nyege zake, halafu akipewa anataka kuonyesha kiwa anatoa msaada wa kukata nyege za madem badala ya kushughulika na nyege zake binafsi.
kabisa, kulingana na uhalisia wa mtu inapaswa ufuate vile mwili wako unaweza kumudu. Mambo ya kujitia ufundi ikiwa huna ufundi wowote ndio kuishia kujiua kabisa.
 
kabisa, kulingana na uhalisia wa mtu inapaswa ufuate vile mwili wako unaweza kumudu. Mambo ya kujitia ufundi ikiwa huna ufundi wowote ndio kuishia kujiua kabisa.
Wanataka kukata nyege za wasio na nyege. Lile tendo ni starehe, tatizo hadithi zina waharibu vijana na kuwajengea hali ya kutojiamini.
Mtu anatakiwa ajijue uwezo wake unapoishia, then ajipe furaha.
 
Wanataka kukata nyege za wasio na nyege. Lile tendo ni starehe, tatizo hadithi zina waharibu vijana na kuwajengea hali ya kutojiamini.
Mtu anatakiwa ajijue uwezo wake unapoishia, then ajipe furaha.
mtu anataka kushindana na kichwa kinachowaza VICOBA, upatu, ada ya watoto wasio na baba na matatizo mengine lukuki, halafu anatarajia atamkojoza mtu kama huyo.
Sheria ni moja tu, wewe mwenye nyege zako nenda, kojoa kadri ulivyojaaliwa nenda nyumbani.
 
Walimwengu hebu kubalini majaaliwa yenu. Kama ilivyo kuna watu warefu na wafupi halkadhalika kuna wenye kwenda sekunde na kumaliza na wale wa kukaa kifuani masaa kama vile wanataka kujenga kwenye mwili wa mwenzao.

Papa haikomoleki, ile sehemu inatoka kichwa cha mwanadamu, unadhani utaweza ikomoa?

Mwanamke akiamua kuridhika hata kidole kinamridhisha tena kwa sekunde chache tu na akiamua kutoridhika hata umkokomeka masaa 5 mfululizo ataona kama unamtekenya tu.

Kitakwimu hasa, ili ionekane umemlala demu ni ndonga ikiingia kwenye tupu yake tu, haijalishi ni kwa sekunde ngapi. Hapo hata akikutangazia umekojoa ndani ya sekunde ukweli utabaki wakiitwa waliomlala na wewe umo.

Raha ya kujamiiana ni kufika mshindo. Sasa ikiwa unafika mshindo hata kwa dakika unahangaika nini juu ya kifua cha mwenzio???

Ikiwa kuna barabara shortcut ya kufika unakoelekea ya nini uzunguke ndugu??? Wewe ingia ndani chomeka, kojoa ndani ya sekunde, inuka ukung'ute kende na mluzi juu halafu sepa. Kama hajaridhika atatafuta kwa kumfikisha kipindi hicho wewe mwepesi na goli lako la sekunde.

Sasa kwa tamaa ya kudisa masaa umepoteza uwezo wako wa kudisa hata kwa sekunde. Pole mwamba, sasa hivi kama ni muislamu ingia kwenye usheikh utubu na kama mkristo okoka tu maana mashine imeshalala yoooo[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom