Walimwengu hebu kubalini majaaliwa yenu. Kama ilivyo kuna watu warefu na wafupi halkadhalika kuna wenye kwenda sekunde na kumaliza na wale wa kukaa kifuani masaa kama vile wanataka kujenga kwenye mwili wa mwenzao.
Papa haikomoleki, ile sehemu inatoka kichwa cha mwanadamu, unadhani utaweza ikomoa?
Mwanamke akiamua kuridhika hata kidole kinamridhisha tena kwa sekunde chache tu na akiamua kutoridhika hata umkokomeka masaa 5 mfululizo ataona kama unamtekenya tu.
Kitakwimu hasa, ili ionekane umemlala demu ni ndonga ikiingia kwenye tupu yake tu, haijalishi ni kwa sekunde ngapi. Hapo hata akikutangazia umekojoa ndani ya sekunde ukweli utabaki wakiitwa waliomlala na wewe umo.
Raha ya kujamiiana ni kufika mshindo. Sasa ikiwa unafika mshindo hata kwa dakika unahangaika nini juu ya kifua cha mwenzio???
Ikiwa kuna barabara shortcut ya kufika unakoelekea ya nini uzunguke ndugu??? Wewe ingia ndani chomeka, kojoa ndani ya sekunde, inuka ukung'ute kende na mluzi juu halafu sepa. Kama hajaridhika atatafuta kwa kumfikisha kipindi hicho wewe mwepesi na goli lako la sekunde.
Sasa kwa tamaa ya kudisa masaa umepoteza uwezo wako wa kudisa hata kwa sekunde. Pole mwamba, sasa hivi kama ni muislamu ingia kwenye usheikh utubu na kama mkristo okoka tu maana mashine imeshalala yoooo[emoji23][emoji23][emoji23]