LGE2024 Tangu nizaliwe sijaona uchaguzi wa serikali za mitaa uliogubikwa na aibu kubwa kama huu wa mwaka 2024

LGE2024 Tangu nizaliwe sijaona uchaguzi wa serikali za mitaa uliogubikwa na aibu kubwa kama huu wa mwaka 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu.

Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii.

Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti

Tunapokwenda siyo kuzuri.
 
Huu uchaguzi ulikuwa ni aibu Sana. Basi tu sema CCM imeshikilia kila kitu kuanzia mahakama , bunge, jeshi JWTZ na hata polisi.
 
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu. Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii. Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti . Tunapokwenda siyo kuzuri.
Halafu kuna wapuuzi wanathubutu kuupongeza
 
Ila kufikia hatua ya kuuawa watu kumwaga damu eeeh Mwenyezi Mungu usikae kimya 😭😭😭
Naijulikane kuwa unachukizwa na udhalimu huo Mkuu wa kiasi cha kumwagika kwa damu za Watu Ulowaumba kwa thamani kubwa mno.
 
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu.

Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii.

Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti

Tunapokwenda siyo kuzuri.
Nchi imefika patamu sana
 
Wapinzani wapumbavu sana kwani hawezi kukaa bila kushiriki hizi chaguzi?
 
Ulikuwa umezaliwa wakati uchaguzi wa 2019 unafanyika?
 
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu.

Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii.

Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti

Tunapokwenda siyo kuzuri.
Mwakani watakufa mamia huyu mama ni hatari sana kwa nchi yetu.
 
Kuna rafiki yangu namjua yeye na wasichana wake dukani walichukuliwa na ma ccm kwenda kupiga kura wakati hawakujiandikisha!
Dodoma hiyo.
 
Vyama vya upinzani vilikosea sana kukubali huu mtindo wa watu kujiandikisha badala ya watu kutumia kadi zao za kupigia kura.
 
Huu uchaguzi ulikuwa ni aibu Sana. Basi tu sema CCM imeshikilia kila kitu kuanzia mahakama , bunge, jeshi JWTZ na hata polisi.
JWTZ hawapo hapo,hawana ujinga ujinga wa kuwalamba watu miguu,achana nao kabisa hao watu
 
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu.

Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii.

Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti

Tunapokwenda siyo kuzuri.
Mashehe na maaskofu wa walokole ni machawa wakubwa sana!
 
Wananchi walijitokeza kujiandikisha ili wawachague viongozi watakaowaletea maendeleo lakini kinyume chake yametokea mambo ya hovyo tena ya hovyo katika uchaguzi huu.

Wagombea wanapigwa risasi, wengine wanakatwa mapanga ili Chama fulani kitimize malengo yake. Hii ni AIBU kubwa wakati tuna viongozi wa nchi tuliowachagua kwa upendo lakini bado kunatokea aibu kama hii.

Wazee mpaze sauti,. Mzee Butiku na wengineo mpaze sauti. Mababa Askofu, Mashehe pazeni sauti

Tunapokwenda siyo kuzuri.
Tatizo kuna wajinga wajinga akili zao ndogo sana wako ikulu wamemuaminisha mama kizimkazi kuwa dawa ya wapunzani ni kutumia nguvu tu sio wa kuwachekea hawa , na kwa vile huyu mama naye akili zina fanana na walio mzunguka kaamini kuwa hiyo ndiyo njia salama kwake. Wacha tuone mwisho wake nani atanuka mavi.
 
Tatizo kuna wajinga wajinga akili zao ndogo sana wako ikulu wamemuaminisha mama kizimkazi kuwa dawa ya wapunzani ni kutumia nguvu tu sio wa kuwachekea hawa , na kwa vile huyu mama naye akili zina fanana na walio mzunguka kaamini kuwa hiyo ndiyo njia salama kwake. Wacha tuone mwisho wake nani atanuka mavi.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa! Jinga kabisa!
 
Back
Top Bottom