Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Muha Sibu OKW BOBAN SUNZU
Vunjeni na milango huenda wamejifia ndani...konde 5 ni nzito sana😂😂GENTAMYCINE hebu jitokeze
Huwezi jifungia ndani siku zote hizo na simu umezima.
Toka nje ukafanye maisha, kuna maisha baada ya dakika 90.
Fuatilieni hata nyayo huenda kajitundika😂Mwasibu na uzi wake ule katukimbia 😁😁😁
Mhasibu wa Robertinho.Mwasibu na uzi wake ule katukimbia [emoji16][emoji16][emoji16]