Je ni kweli Simba imemuacha kocha au kocha ameachana na Simba?
Mbona Yanga walipofungwa na watani zao ngao ya jamii kwa penalti hawakumfukuza kocha?
Simba mchezo wa kuwatoa kafara makocha utawagharimu pakubwa, jaribuni kuwaheshimu wanachama na mashabiki wenu, klabu ya Simba si kama chama cha siasa bali ni timu ya mpira yenye kuwapatia wanachama na mashabiki wake burudani na furaha, mkiwazingua nao watakuzingueni.
Mbona Yanga walipofungwa na watani zao ngao ya jamii kwa penalti hawakumfukuza kocha?
Simba mchezo wa kuwatoa kafara makocha utawagharimu pakubwa, jaribuni kuwaheshimu wanachama na mashabiki wenu, klabu ya Simba si kama chama cha siasa bali ni timu ya mpira yenye kuwapatia wanachama na mashabiki wake burudani na furaha, mkiwazingua nao watakuzingueni.