John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 624
- 717
Inauma sana kufungwa na timu ya mama.GENTAMYCINE hebu jitokeze
Huwezi jifungia ndani siku zote hizo na simu umezima.
Toka nje ukafanye maisha, kuna maisha baada ya dakika 90.
OKW BOBAN SUNZU njoo utupe hasara za zaidi ya 400,000,000 Yanga walizopata kwa kumsajili Aziz KMuha Sibu OKW BOBAN SUNZU
Mkiifunga Ihefu, Azam au Singida big stars huwa mnaona kawaida.GENTAMYCINE hebu jitokeze
Huwezi jifungia ndani siku zote hizo na simu umezima.
Toka nje ukafanye maisha, kuna maisha baada ya dakika 90.
Hao wengine hawana MIDOMO MIREFU.Mkiifunga Ihefu, Azam au Singida big stars huwa mnaona kawaida.
Ila mkiifunga Simba, Yanga wanafanya sherehe kbsa
Kwanini msitengeneze documentary ya kuonesha meifunga Simba?
Wakili msomi [emoji2772][emoji2772][emoji2772]Yani niache kuangalia series nianze kufuatilia mambo ya kijinga?
Jiulize kwanini mnatimuana baada ya hiki kipigo kitakatitfu?Mkiifunga Ihefu, Azam au Singida big stars huwa mnaona kawaida.
Ila mkiifunga Simba, Yanga wanafanya sherehe kbsa
Kwanini msitengeneze documentary ya kuonesha meifunga Simba?