Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

hawa Messi and Cristiano Ronaldo wapo kizazi kisicho jua mpira ila wangecheza miaka ya 2002 kurud nyuma walikua wa kawaida tu

Mkuu unachekesha mnoo. Messi??? Huyu Messi 2naemjuwa🙁 angecheza from 94 to now wangeisoma namba hao watoto,,,,,Achana na messi bwanaa,,,hakuna wa kariba yake na hatatokea. Just think miaka mingapi kacheza na hajadrop ukifananisha na wachezaji waliopita!!!!!!!. Wachezaji waliopita miaka mi 3 mi nne wamechoka ile mbaya na kuendekeza umaraya. Mkuu King Messi anawaumiza mnoo. Angalieni bwanaa mucje mukapata anxiety disorders
 
unasumbuliwa na mahaba Messi huyu haja fikia ufundi wa Ronadho
 
Vipimo vyote vya mchezaji bora kuwahi kutokea duniani vinamuangukia PELE.
-UREFU
- MSULI
- MATUMIZI YA MIGUU
-MATUMIZI YA KICHWA
Huyu jamaa kacheza mpira mkubwa wakati dunia inawachezaji nguli kila kona. Hakuna sheria za kulinda mastaa, dunia ya 3 hatuoni live baada ya muda tunaona kwenye vijalida au mikanda ya filamu jamaa alikuwa hatari saana. Ukisikia Pele.Jahzinho.Tostao.nk Brazil ya kutisha wakipiga faulo wachezaji kama kumi wanauruka mpira ikipigwa goli.
Kidogoo Diego alifuatia, ila dawa za kuongeza nguvu zinamuondolea sifa.kwa maana ya kuburudisha huwezi kumuacha Gaucho na kwa maana ya udhamini na biashara ya soka MESSI na C7 ni wakati wao.
Dunia nyingine ya soka la ukweli na iliyoondoka na mpira wao ni De Lima, zizou
 

Mkuu ondoa mahaba kwa wabrazil. Ongea facts

Hao wote umewataja kwa DIEGO ni choo kabisa
 
Siyo mm ni wataalam wa soka wa soka wa wakati huo na sasa Soka la Dunia huwezi kuikwepa BRAZIL Diego anajua sikatai lkn kwa Pele stop
Munataja watu waliocheza enzi hizo hakuna off side , kona 3 penalt. [emoji36] [emoji36]. Chukua Video Crisps ya Messi vs Pele/ Maradona . utaona kuwa Messi hatari. Nakuambiaje kama ingekuwa inaruhusiwa nilitaka Pele acheze karne hii ambayo mm naamini mpira ni mgumu sana. Mastars wengi timu zao za taifa ni uchuro . sio enzi za mwl unakuta timu za taifa zipo vizuri sana. Mabeki hawahawa unaowadharau wangemtoa shipa uyo Pele wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ufalme na utawala wake wewe umemshuhudia messi katika kizazi chake unahaki ya kusema messi ni bora lakini walio kuwa enzi hizo walikuwa na wachezaji wao walio sema ni bora kuwai kutokea na zama zijazo zitakuwa na kizazi chao nao watasema ni bora kuwai kutokea kwaiyo tusiwape sifa kuzidi dunia yenyewe na wengine wanafanisha na alien sijui washawai kuona alien wakicheza mpira mpeni sifa anayostahili
 
Gaucho sio level yake wawili hawa. Gaucho level yake iniesta,Aguero,okocha nk. hata uwalete akina pele, zidane, de stephano,redondo bado sana kwa wafalme hawa Sembuse gaucho hata de lima tu kamfunika vibaya tu!
Huo mtazamo wako, hv huyo Messi huwa anakufurahisha nini zaidi pindi mchezo unapoisha bila kufungana? Kitu ambacho ni tofauti kwa wachezaji hao wengine uliowataja hata mechi iishe 0 - 0 kiasi kikubwa utakuwa umeenjoy mechi ,mfano rahisi ni Niyonzima na Msuva mmoja anakuburudisha na anaweza kufunga mwingine anakimbia kimbia na kufunga sana chaguo ni lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu mpira ni kuhadithiana sijui unafahamu sheria 17 za soka zilianza lini?
Ukifahamu hilo huwezi kuweka porojo kwenye jambo la ukweli.Messi kwa Maradona tu viwango vya dunia vinamkataa
 
Mtakatifu Ronadinho haya twende kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakushangaa unapompa credit Zidane halafu umponde Gaucho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Best player hajanyanyua World Cup? huyo best makinikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo mm ni wataalam wa soka wa soka wa wakati huo na sasa Soka la Dunia huwezi kuikwepa BRAZIL Diego anajua sikatai lkn kwa Pele stop


He he he hee mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe,,,,,,,, hao hao wataalamu mkuu wanamtambua Mhuni Diego ndie baba lao after Leonel Mec. Uyo muzee analindwa kutokana na umri wake na kujipendekeza kwa mizungu. Ukitaka mzungu akupende mnyenyekee 2 kama anavyofanya pele.atakupa adi nyumba na kupewa umaarufu.




FIFA Player of the Century was a one-off award created by FIFA to decide the greatestfootball player of the 20th century, announced at the annual FIFA World gala, held in Rome on 11 December 2000.[1] Diego Maradona andPele were joint winners of the award.[2][3]Maradona won the award based on the Internet poll, while Pelé won the award based on votes from FIFA officials, journalists and coaches.[2][3]

Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.[4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…