Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Halo wadau wa JF nimekuwa katika mazingira magumu sana kupata habari kuanzia tarehe 21/5 hadi Leo 05/06/2020.
Maisha haya ni mahangaiko na sikuwa na simu wala redio mahali nilikokuwepo. Wadau na familia yangu naombeni msaada wenu nini kilijiri humu nchini na duniani kisiasa, kiuchumi, michezo kijamii katika kipindi hicho chote nikiwa mafichoni au nje ya mifumo ya habari.
Nakumbuka wakati naondoka Makonda alitangaza jumapili inayofuata ni sherehe za kukata na shoka Dar.
Minijuze mengine tafadhali.
Asanteni.
Maisha haya ni mahangaiko na sikuwa na simu wala redio mahali nilikokuwepo. Wadau na familia yangu naombeni msaada wenu nini kilijiri humu nchini na duniani kisiasa, kiuchumi, michezo kijamii katika kipindi hicho chote nikiwa mafichoni au nje ya mifumo ya habari.
Nakumbuka wakati naondoka Makonda alitangaza jumapili inayofuata ni sherehe za kukata na shoka Dar.
Minijuze mengine tafadhali.
Asanteni.