Tangu ulipoondoka mambo yamebadirika, miluzi imeongezeka

Nadhani Lumumba atakiandika na kitauza sana
 
Haya ndiyo mazuri ambayo "anti- Maghufulism" hawatoweza kuyafuta kwenye nuru ya ulimwengu na walimwengu, miaka kenda kenda kenda elfu mia na ushee atakapozaliwa mrithi wake.
 
Mimi nitakuwa wa mwisho kumsaliti Magufuli.

Nilijua Magufuli amefariki basi waliomchukia wataanza maisha mapya bila Magufuli, ila cha ajabu waliohai wanahofu na Magufuli na Falsafa ya Magufuli kuliko hata alivokuwa hai...

Bila shaka hofu ya Hawa watu imetokana na namna watu walivojitokeza kumzika. Magufuli na Umagufuli utaishi miaka na miaka, na Utawala wa Magufuli ndio Standard ya viongozi wajao.

Umagufuli utaishi milele
 
Magufulism=Nazism=Fascism hizo zote lazima zipigwe vita maana ni falsafa za kishenzi zinastahili kutumika motoni tu kule kwa shetani

Nashauri hata jina Magufuli liwe na maana ya mtu muovu kabisa.

Serikali itunge sheria mtu yoyoye anayetetea au anaye-promote mambo ya magufuli au kukutwa na symbol yoyote ya magufuli afungwe au apigwe fine kama inavyofanyika kwa wafuasi wa manazi wa Hitler
 
Ahsante,Mkuu. Nakupongeza kwa iliyoyaandika.
Hapa nimejifunza misamiati mitatu sasa.
Magufulism, Magufulist na Magufulification.
Viva Magufuli.
 
Hahaha, Unaota...
 
Ndugu yangu, Umagufuli umeota mioyoni mwa watu. Si rahisi kuupoteza Umagufuli hata kidogo.
 
Kwa nini Mnamuogopa Magufuli wakati amekwisha fariki.

Magufuli alikufa mwili tu, ila ataaishi Milele
 
sasa hii ndio itakua title ya project yako mkuu, nenda ukazicompere.
 
Ahsante,Mkuu. Nakupongeza kwa iliyoyaandika.
Hapa nimejifunza misamiati mitatu sasa.
Magufulism, Magufulist na Magufulification.
Viva Magufuli.
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…