Tangu uzaliwe mpaka sasa 2022, ni wimbo gani bora kwako?

Hizi ndo nyimbo bora kabisa za wakati wote katika makundi mbalimbali:

Bongo Fleva:
MB Dog, Si uliniambia

au remix yake akishirikisha Yakuza Mobb


Muziki wa dansi:
Hapa ni kazi kwelikweli, ila kutoka kwa Wakongo wa Dar es Salaam
Diamond Musica, Mapenzi

Na kutoka kwa Watanzania ni
Banza Stone akiwa TOT Plus Band, Elimu ya Mjinga

Rusha Roho:
Mzee Yusuf (Jahazi Modern Taarab), Alamba alamba tena

Taarabu (Orijino)
Issa Matona, Kimasomaso

Singeli
Meja Kunta, Madanga ya Mke Wangu
Yaani huu wimbo ndo unakupa ladha ya maisha ya uswahilini kabisa kule kwa Mpalange, kwa Alimboa, Kigogo, n.k., ambako muzikli wa Singeli ndo ulikotokea.

Gospel - Kuabudu
Mercy Linah, Niponye
 
Inakuwaje tunasikia maneno wanavyosema kwa lugha zetu wenyewe?

Wakatoliki wamenielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…