Tani tatu za Mashudu ya Alizeti zinauzwa

Tani tatu za Mashudu ya Alizeti zinauzwa

udeco

Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
9
Reaction score
8
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa.

Kiwanda kipo Morogoro na tunasafirisha kwenda popote Tanzania kwa gharama nafuu. Ukihitaji njoo PM tuongee biashara.

Asante.
 
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti.Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa. Kiwanda kipo Morogoro na tunasafirisha kwenda popote Tanzania kwa gharama nafuu .Ukihitaji njoo PM tuongee biashara.
Asante.
Bei gani kwa tani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom