Yaani kukwangua dongo lijae mtaroni ni kufanya smartwork hard not smart wameitendea haki huu msemo
Hujui hata unaongea nini! Mitaro ilikuwa misafi wamrkwangua dongo limeenda mtaroni halafu unasema kazi smart!.Wala hujui unachokiongea au umekurupuka kuandika, wakati mwingine watu hatujui tunataka nini,
Anyway hayo majani yataondolewa uwe na amani
Kingai he is not working hardwork hard not smart wameitendea haki huu msemo
Mjomba kingaiKingai he is not working hard
Yes huto ndugu yako muonevu na muuajiMjomba kingai
Kazi kwelikweliMjomba kingai
Tz hii.Sijui kama hili limekaa kitaalam sana au kipigaji!
Kwa taarifa za Mamlaka ya hali ya hewa! Baada ya wiki mbili kutakuwa na mvua!
Ukipita barabara ya bagamoyo kuanzia eneo la mbezi kuelekea tegeta!
Yale majani ya pembezoni mwa barabara wanayakwangua na greda!
Kama tunavyojua greda husukuma majani na udogo wote unaenda kujaa kwenye mitaro!
Swali, huu utaratibu wa kufyeka majani na greda ni wa kitaalam? au tunatengeza kazi nyingine baadae ya kuja kuzibua mitaro?
Naomba Wataalam wa barabara mtuelimishe hilo kabla mitaro hijajaa maji!
Create problems to be solved as another problemTz hii.
Hivyo hivyo.Create problems to be solved as another problem
Mama ajitahidi kuwa mkaliHivyo hivyo.