TANROADS rekebisheni traffic lights za Aga Khan junction kabla hazijasabanisha ajali

TANROADS rekebisheni traffic lights za Aga Khan junction kabla hazijasabanisha ajali

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
TANROADS tafadhalini rekebisheni hizo taa. Karibu wiki sasa naona taa zinaruhusu huku na huku kwa wakati mmoja. Naweka picha inayoonesha gari kutoka Agakhan hospital zimeruhusiwa huku gari zinatoka selander kuingia upanga nazo zimeruhusiwa.

IMG_20210522_142616.jpg
 
Kuna siku nimemkosakosa mtu nikafikiri huyo mtu ni dereva mjinga kumbe na yeye taa imemeuhusu!
 
Na pale fire kutoka muhimbili hakuna taa inayoruhusu gari za kuingia morogoro road..watu wanatumia uzoefu tu
 
Na pale fire kutoka muhimbili hakuna taa inayoruhusu gari za kuingia morogoro road..watu wanatumia uzoefu tu
Ule mchezo wa pale ni WA kipekee mtu anaetoka Muhimbili kwenda Magomeni anatanua kulia kabisa kiasi kwamba anaetoka Kariakoo kwenda Muhimbili anapita katikati ya huyu anaeenda Magomeni na anaeenda Kariakoo!
 
Ule mchezo wa pale ni WA kipekee mtu anaetoka Muhimbili kwenda Magomeni anatanua kulia kabisa kiasi kwamba anaetoka Kariakoo kwenda Muhimbili anapita katikati ya huyu anaeenda Magomeni na anaeenda Kariakoo!
Waliwahi kutolea ufafanuzi kwamba anayekwenda Magomeni kutokea Muhimbili anatakiwa anyooke kwenda kariakoo akageuzie huko kisha arudi kwenda Magomeni, ila ni very poor design sijui nani alifanya huo utumbo
 
Waliwahi kutolea ufafanuzi kwamba anayekwenda Magomeni kutokea Muhimbili anatakiwa anyooke kwenda kariakoo akageuzie huko kisha arudi kwenda Magomeni, ila ni very poor design sijui nani alifanya huo utumbo
Yeah huo uliosema ndio utaratibu ila wakulungwa wamejiongeza kwasababu hamna wa kuwasimami si unatujua wabongo...
 
Waliwahi kutolea ufafanuzi kwamba anayekwenda Magomeni kutokea Muhimbili anatakiwa anyooke kwenda kariakoo akageuzie huko kisha arudi kwenda Magomeni, ila ni very poor design sijui nani alifanya huo utumbo
🤪🤣🤣Yani uweeende urudi tena ugeuze unakotaka kwenda utawahi kweli
 
Ule mchezo wa pale ni WA kipekee mtu anaetoka Muhimbili kwenda Magomeni anatanua kulia kabisa kiasi kwamba anaetoka Kariakoo kwenda Muhimbili anapita katikati ya huyu anaeenda Magomeni na anaeenda Kariakoo!
Yah...mtu akiwa mgeni pale anaweza akazubaa pale masaa yote akisubr taa ..au itambidi akapitie Jangwani..sijui walikosea nn pale maana ni tatizo la muda mrefu sana
 
Yah...mtu akiwa mgeni pale anaweza akazubaa pale masaa yote akisubr taa ..au itambidi akapitie Jangwani..sijui walikosea nn pale maana ni tatizo la muda mrefu sana
Hawajakosea. Madereva ndio hawataki kufuata utaratibu uliowekwa.
 
Hawajakosea. Madereva ndio hawataki kufuata utaratibu uliowekwa.
Hapana.

Pale ni user experience Vs Design

Na baada ya kugundua walikosea ku design pale, Askari wanaoongoza magari wao ndiyo walianza kuita watu wakunje kulia,

Hili tatizo lilikuwepo kinondoni mwanamboka,
Ikabidi wazirekebishe zile taa.

Ilikuwa ukikunja kulia kama unatoka mwananyamala kuelekea magomeni barabarani ni kosa inabidi uzunguke nyuma ya kituo cha daladala, then ndo urudi barabarani,

Waligundua ni upumbavu wakabadili.
 
Na pale fire kutoka muhimbili hakuna taa inayoruhusu gari za kuingia morogoro road..watu wanatumia uzoefu tu
Pale ni ubishi wa madereva na support ya wale traffic wa Fire/Azania...maana watu wa michoro Tanroad itakuwa walichemsha namna ya kupafanya pawe pakubwa pale kama junctions nyingine au kuna mchoro wa flyover mbeleni huko...

Kiusalama zaidi inakupasa ukitoka Muhimbili unyooke, then ukazunguke nyuma ya kile kituo cha mafuta, then zile ghorofa halafu urudi Moro Road kwa kutokea mbele kidogo kushoto...pale wanapoingilia wanaotaka kwenda Muhimbili kwa wanaotokea Posta/City Centre...

Au lah, nyooka mbele then kapite Jangwani Yanga, then ukaambae na ukuta wa BRT pale Jangwani urudi Moro Road...
 
Hapana.

Pale ni user experience Vs Design

Na baada ya kugundua walikosea ku design pale, Askari wanaoongoza magari wao ndiyo walianza kuita watu wakunje kulia,

Hili tatizo lilikuwepo kinondoni mwanamboka,
Ikabidi wazirekebishe zile taa.

Ilikuwa ukikunja kulia kama unatoka mwananyamala kuelekea magomeni barabarani ni kosa inabidi uzunguke nyuma ya kituo cha daladala, then ndo urudi barabarani,

Waligundua ni upumbavu wakabadili.
Sasa kama wamegundua walikosea design si wangeweka taa au kubadili design? Traffic mara ngapi wanaita watu wapite opposite side ina maana waliojenga mwanzo walikosea design?
 
Sasa kama wamegundua walikosea design si wangeweka taa au kubadili design? Traffic mara ngapi wanaita watu wapite opposite side ina maana waliojenga mwanzo walikosea design?
Tatizo lipo na jinsi barabara ilivojengwa.
 
Back
Top Bottom