Kwahio kikosi cha keko kipanuliwe kwa kusajili wachezaji wapya 😁Nafasi ya rugemalila na seth kule keko tunataka wafuatao ndio waende keko,mfugale,kakonko,DG atcl,DG TRC,dotto james,heri james,sabaya, bashite....hawa hawatakiwi kuona jua la saa 10 jioni wao mwisho iwe saa 9 kama ratiba ya magereza ilivyo.
Tukimaliza tunaanza na DK gwajima n naibu wake kwa vifo vya waliokufa n covid wakti wao wakifanya comedy za kunywa juice ya tangawizi n limao
CAG alikuwa Chief Accountant wa Tanroads......usisahau hilo bwashee!
Sahihi kabisa ongezea na DPP angalau wakakae miaka tisa hivi wakisubiria ushahidi kukamilika kama walivyowatendea wenzao kuwaweka ndani miaka 6 kusubiria ushahidi.Hii itasaidia kuponya mioyo ya watz,walitutambia Sana hawa kwa mgongo wa mungu wao aliyelala mazima.Nafasi ya rugemalila na seth kule keko tunataka wafuatao ndio waende keko,mfugale,kakonko,DG atcl,DG TRC,dotto james,heri james,sabaya, bashite....hawa hawatakiwi kuona jua la saa 10 jioni wao mwisho iwe saa 9 kama ratiba ya magereza ilivyo.
Tukimaliza tunaanza na DK gwajima n naibu wake kwa vifo vya waliokufa n covid wakti wao wakifanya comedy za kunywa juice ya tangawizi n limao
Hii ni zamu ya AnophelesKila masika na mbu wake!
Endelea hivyo hivyo jichanganye tuu uone cha mtema kuniJamaa mlikuwa mnatutisha kutuua humu JF nakukumbusha tu hatutaishi milele sifa ya mtu kufa
Huyu Gwajima huku amejifunika blanket na mumewe wakiwa wamevaa truck suit.Nafasi ya rugemalila na seth kule keko tunataka wafuatao ndio waende keko,mfugale,kakonko,DG atcl,DG TRC,dotto james,heri james,sabaya, bashite....hawa hawatakiwi kuona jua la saa 10 jioni wao mwisho iwe saa 9 kama ratiba ya magereza ilivyo.
Tukimaliza tunaanza na DK gwajima n naibu wake kwa vifo vya waliokufa n covid wakti wao wakifanya comedy za kunywa juice ya tangawizi n limao
Harafu majitu yanayojua praise and worship hayaoni madudu ya mwendazake yanamuona mwema kuliko hata malaika[emoji34]Umewahi sikia hayati amewahi igusa tanrod au wizara ya ujenzi kule ndo kuna madudu hatari sema aliyafunika maana nao wanamjua nje ya camera.
Anaweza pakiwepo sababu za msingi na za kisheria kwa mujibu wa katiba!Mkuu johnthebaptist habari. Hivi Mama yetu Rais wa JMT Mh. Samia suluhu Hasani mamlaka yake hawezi kumwondoa CAG kabla ya kumaliza muda wake?
Ahsante
Kwani aliposema awapeleki maendeleo kwa wapinzani, aliposema safarii hii awakosei, aliposema uvccm wamekuwa wapole Sana jeshi lao KILA kitu chao,alipotoa kauli za kintarahamwe ulikuwa ujazaliwa nini?Maridhiano na nani? Anaongea issues ndani ya Chama maridhiano na wahuni wakati chama kilishakufa?
Mheshimiwa Rais anataka mchanganuo wa kina wa uchunguzi hapo baadae baada ya ukaguzi huu 'detailed results'Kwa miaka hii sita, TANROADS imetoa viongozi wengi katika fani mbali mbali nchini.
Nani asiyejua kuwa ni TANROADS ambao walikuwa nguvu kubwa ya mheshimiwa Magufui hadi kushika madaraka ya Urais.
Nguvu ya TANROADS imetumika kisiasa na tumeona wafanya kazi wa TANROADS wakipelekwa sehemu mbali mbali za uongzi katika awamu ya tano.
Hiyo ilikuwa kama shukrani ya muheshimiwa.
Siyo bure kwamba lile daraja la TAZARA pale limtunikiwa jina la Mfugale wa TANROADS.
Hatukuwahi kusikia mahesbu ya CAG yakiigusa vibaya TANROADS kwa muda wote wa awamu ya tano.
Sasa mambo yameanza kubadilika, kaingia rais wa sita Mama Samia.
Mtu wa kwanza kuenguliwa ni Eng Kakoko wa TPA-Bandari.
Alikuwa meneja wa Mkoa TANROADS huyu
Hili siyo bure- walikuwa untouchables.
Nimemsikia Rais Mama Samia kuwa sasa anataka kuona miradi ya barabara ikikaguliwa na CAG.
TANROADS mkae mguu sawa.
Hawezi kumuondoa labda atumie ubabe kama Yule mwendazake aliyemlazimisha Pr Assad astaafu Kwa lazimaMkuu johnthebaptist habari. Hivi Mama yetu Rais wa JMT Mh. Samia suluhu Hasani mamlaka yake hawezi kumwondoa CAG kabla ya kumaliza muda wake?
Ahsante
Yule alikuwa muhuni tu aling'ata na kupuliza akiwekeza zaidi kwenye propagandaHarafu majitu yanayojua praise and worship hayaoni madudu ya mwendazake yanamuona mwema kuliko hata malaika[emoji34]
Hao jamaa hawana ubongo wamejaza makamasi kichwaniKwani aliposema awapeleki maendeleo kwa wapinzani, aliposema safarii hii awakosei, aliposema uvccm wamekuwa wapole Sana jeshi lao KILA kitu chao,alipotoa kauli za kintarahamwe ulikuwa ujazaliwa nini?
Ndio maana watu wanasema utawala wa magu ulikua na mafisadi wengi.CAG alikuwa Chief Accountant wa Tanroads......usisahau hilo bwashee!
Harafu malayman wanamwabudu kila uchwao watanzania wapumbavu sana aiseeNdio maana watu wanasema utawala wa magu ulikua na mafisadi wengi.
Inawezekana.Nionacho watendaji wengi wanaenda na mdundo wa ngoma tutegemee hata maswaiba kuanza kumkana jiwe coz no longer.Si ajabu musiba kuanza kumponda jiwe Ili njia yake ya kwenda toilet isiote nyasi.Wanafiki Sana watu,ukupamba wanufaikapo.Hawezi kumuondoa labda atumie ubabe kama Yule mwendazake aliyemlazimisha Pr Assad astaafu Kwa lazima
Ufisadi unatoka wapi hapo?Ndio maana watu wanasema utawala wa magu ulikua na mafisadi wengi.
Uko sahihi kiongozi wanguInawezekana.Nionacho watendaji wengi wanaenda na mdundo wa ngoma tutegemee hata maswaiba kuanza kumkana jiwe coz no longer.Si ajabu musiba kuanza kumponda jiwe Ili njia yake ya kwenda toilet isiote nyasi.Wanafiki Sana watu,ukupamba wanufaikapo.
Ma praise walikuwa wanapalilia njia za kwenda toiletHarafu majitu yanayojua praise and worship hayaoni madudu ya mwendazake yanamuona mwema kuliko hata malaika[emoji34]
Nazisubiri sana post za ndg yetu aliyesubiria uteuzi muda mrefu bila mafanikio Pascal MayalaMa praise walikuwa wanapalilia njia za kwenda toilet