TANROADS warudishe alama za barabarani

TANROADS warudishe alama za barabarani

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Ukisafiri umbali mrefu kwenye Highways huku ukiwa makini utagundua kuwa, kuna alama nyingi tu hasa za speed limit hazipo barabarani; Nafikiri zimeondoka kwa sababu mbalimbali.

Mfano: Unakuta vibao vya Speed limit upande mmoja kipo, ila upande mwingine hakipo (ila kupigwa tochi kupo palepale) na Unaweza kuta kibao cha kuonesha hapo ni mwisho wa kuendesha kms 50 wakati hujaona kibao cha kuonesha ilipo anzia.

Kuna sehemu nyingine unakuta kibao cha kuonesha mwanzo wa kuendesha kms 50 ila hakuna kibao cha kuonesha mwisho wa kms 50 nk nk nk

Natamani wahusika wavirudishe mapema iwezekananvyo kuepusha ajali pamoja na kuepusha malumbano yanayoendelea kati ya Maderena na Traffic
 
Nakuunga mkono 100% mkuu.

Pia speed limit ya 50km/h imeshapitwa na wakati. Iliwekwa enzi hizo magari yalikuwa hayana speed kubwa. Magari ya sasa ukigusa tu accelerator kidogo km ziko hukoo.

50km/h sasa iwe 80km/h kwenye highway na watu waache kuishi kama manyani wajue technology imekua kama kuvuka barabara watumie akili na siyo miguu tu.
 
Madereva wa Tanzania hawajui maana ya hizo alama
Ukisafiri umbali mrefu huku ukiwa makini utagundua kuwa, kuna alama nyingi tu hasa za speed limit hazipo barabarani; Nafikiri zimeondoka kwa sababu mbalimbali...
 
Baadhi ya watumishi wa Tanroads wahuni sana wakishirikiana na Trafiki.
 
Back
Top Bottom