kwani kila anachofanya jirani yako ni lazima na wewe ufanye?1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
Mkuu kwani unadhani hawana hizi taarifa? Huko serikalini nimekuta mabuku na mabuku ya sera, mipango mkakati, upembuzi yakinifu n.k ila tatizo lipo kwenye UTEKELEZAJI.Kama Mh. Rais Samia hatachukua hii comment yako kama pa kuanzia na wasaidizi wake, atakuwa hatutendei haki Watanzania.
Najua anapita humu sana tu.
Umeongea kitu muhimu sanaSouth Africa, Congo, kuna masoko ya mchele makubwa, Uganda , Rwanda, Burundi wanahitaji sana mchele, kenya, uganda, rwanda uhitaji mkubwa wa karanga nyekundu kubwa ambapo malawi huvuna mabilioni ya mapesa huko, sudani kusini na uganda soko kubwa la muhogo hao walitakiwa kwanza waende kwa wakulima wawaeleze kua walime zao fulani kwa ukanda huo la biashara halafu wahakikishe wametafiti masoko hayo uhitaji ni muda upi, lakini wanafanya ziara duniani za ujanja ujanja hawana faida sawa na bodi ya mazao mchanganyiko wapo wapo tu bila faida
Umeongea point kubwa1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
Tat1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani
Ni matumaini Tukiwa wafatiliaji hatuwezi kuongea hayo yote1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?