TANTRADE wamelala usingizi

TANTRADE wamelala usingizi

1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
kwani kila anachofanya jirani yako ni lazima na wewe ufanye?
 
Kama Mh. Rais Samia hatachukua hii comment yako kama pa kuanzia na wasaidizi wake, atakuwa hatutendei haki Watanzania.
Najua anapita humu sana tu.
Mkuu kwani unadhani hawana hizi taarifa? Huko serikalini nimekuta mabuku na mabuku ya sera, mipango mkakati, upembuzi yakinifu n.k ila tatizo lipo kwenye UTEKELEZAJI.
 
South Africa, Congo, kuna masoko ya mchele makubwa, Uganda , Rwanda, Burundi wanahitaji sana mchele, kenya, uganda, rwanda uhitaji mkubwa wa karanga nyekundu kubwa ambapo malawi huvuna mabilioni ya mapesa huko, sudani kusini na uganda soko kubwa la muhogo hao walitakiwa kwanza waende kwa wakulima wawaeleze kua walime zao fulani kwa ukanda huo la biashara halafu wahakikishe wametafiti masoko hayo uhitaji ni muda upi, lakini wanafanya ziara duniani za ujanja ujanja hawana faida sawa na bodi ya mazao mchanganyiko wapo wapo tu bila faida
Umeongea kitu muhimu sana
 
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
Umeongea point kubwa

Inahitaji tafakuri pana sana kuipeleka mbele nchi hii
 
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani
Tat
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
Ni matumaini Tukiwa wafatiliaji hatuwezi kuongea hayo yote
kama ni app ya Tantrade mbona inafahamika( Tantrade biashara app) ambayo mimi Binafsi nanufaika nayo kwa kujua mwenendo wa biashara kama bei, na Bidhaa gani zinahitakija ndani na nje ya nchi

Na pia ukifatilia hata kwenye website na social medial za Tandrade, kuna mafunzo yameendelea pale Trade mfano tarehe 9 mwezi January 2023 Tantrade ilitoa seminar ya biashara kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo chuo cha usimamizi wa fedha(IFM) na ni vijana wadogo sana lakini wanaandaliwa kuanza na kukuza biashara zao.

Hata hio seminar ya Dubai kwa Utashi wangu ni lazima waende ili waweze kujua fursa zilizopo na bidhaa gani zinahitajika masomo nje. Hivi vitu vyote hatuvifahamu kwa sababu ya kutokua wafuatiliaji

Website(tantrade.go.tz)
Export procedures
trade.tanzania.go.tz
App(TanTrade Biashara App)
 
Musa mahsusi wa kula Tena viingilio
 
Back
Top Bottom