Tanzania: 110 Foreign Nationals Given Tanzania Citizenship


Kweli kabisa, kuna siku nlienda kununua sim kwenye duka la muhindi kule posta, sasa kesho yake nlirudi na ile simu sababu kuna kitu kilikuwa hakiko sawa kwenye ile simu, nafika pale nkamkuta akiwa na wafanyakazi wengine [waswahili] ile naanza kumwelezea kilichonileta kwa Kiswahili, mara ghafla akang'aka "i don't know swahili talk to this one" huku akiwakaribisha wateja wengine ambao walikuwa ni wahindi wamefikia na wao kununua bidhaa, tena akaniambia nisogee pembeni na BOX langu maana aliona kama natia kiwingu.

Hapo nikapata kuwaelewa hawa watu ni wanamna gani maana sio mara ya kwanza kukutana na dharau za wahindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…