gwakipanga
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 794
- 638
Na ndiyo maana nikatoa mfano Wa Zambia, msumbiji wamefanya hivyo, hiyo ndiyo hoja ya msingi kwanini na sisi tusifanye hivyo?Ulichoandika ni sahihi
Ila kuna kupandisha thamani ya shilingi kwa kutoa zeros(fatilia), nchi kadhaa wamefanya
Supply and demand.., kuna supply ya dollar kiasi gani kulingana na utafutaji ?inaweza ikawa inatafutwa sana na supply yake ni kubwa nyingine inatafutwa kidogo na supply yake ndogo..., kama utafutaji ni watu kumi na supply ni 30 mwenye utafutaji wa watu wawili na supply ni moja atakuzidi...DOLLA ndo sarafu inayotafutwa zaidi duniani Mkuu, kwa mfano uloutoa mbona kuna nchi zimeizidi thamani DOLLA japo hazina Uchumi mkubwa....
Nadhani tunachanganya UCHUMI WA NCHI na THAMANI YA SARAFU ni vitu viwili tofauti japo vyaenda sambamba.
Unachoongelea ni currency Revaluation..,(google upate maelezo zaidi) kwa kufanya hivyo pesa yako inakuwa na gharama kubwa kuliko ya nchi za nje.., sasa wewe wakati unabembeleza watu wanunue vitu vyako hawanunui alafu unaongeza gharama mara kumi unadhani watanunua ?Ulichoandika ni sahihi
Ila kuna kupandisha thamani ya shilingi kwa kutoa zeros(fatilia), nchi kadhaa wamefanya
Mfano ni Zambia na Botswana(kama sijakosea) lakini hii haitatui chochote ni njia ya muda mfupi kwa sababu baada ya miaka kadhaa mbele thamani ya salafu zao zitaendelea kushuka thamani kama kwaida.Ulichoandika ni sahihi
Ila kuna kupandisha thamani ya shilingi kwa kutoa zeros(fatilia), nchi kadhaa wamefanya
Sawa mkuu, kula kongole,kwa mchango yenye tija, maana kuna watu wanaruka viduku kwenye nyuzi ambazo zimewazidi umri. Sisi mamuma Wa uchumi tunaitaji analysis kama hizi zenye kufikilisha.Mfano ni Zambia na Botswana(kama sijakosea) lakini hii haitatui chochote ni njia ya muda mfupi kwa sababu baada ya miaka kadhaa mbele thamani ya salafu zao zitaendelea kushuka thamani kama kwaida.
Sababu Wanajaribu kupitia njia fupi na sio njia ndefu ambayo yanahusisha yafuatayo ambayo kwa kiasi kikubwa husababisha sarafu kushuka thamani.
1. bidhaa toka nje
Uagazaji wa bidhaa toka nje kwa kiasi kikubwa husababisha demand ya dola kuongezeka kwa sababu mabadilishano ya fedha kwa kiasi kikubwa ni dola ya marekani. Deficit ikiwa kubwa thamani ya sarafu itakuwa ndogo.
Ukija kwa nchi yetu anza kuangalia bidhaa tunazoagiza toka nje na zile tunazouza kwenda nje.
2. Mfumuko wa bei
Mfumuko wa bei inamaanisha pesa imeongezeka mtaani kuliko uzalishaji maana yake thamani ya sarafu itashuka tu ukishindwa kudhibiti mfumuko wa bei.
Zimbabwe kipindi cha Mugabe baada ya vikwazo uzalishaji ulikuwa chini, Ililalizimika serikali ichape mpaka noti ya dola ya zimbabwe bilioni moja.
View attachment 1167209
sarafu za zamani za zimbambweJapokuwa naona zimbabwe wamezuia uuzwaji wa sarafu za nje.
https://www.bbc.com/news/world-africa-48757080
Sababu zingine ambazo nchi zinapaswa kudili nazo zinazobabisha sarafu kushuka ama kupanda inahusisha
3. Uwiano wa bei za bidhaa tunazouza nje na zile tunazoagiza
4. Deni la Taifa.
5. Interest rates
6. Hali ya uchumi kwa wakati husika.
Kwa bahati mbaya au nzuri mambo kwa sasa yako tofauti.
Zamani import na export ilikuwa ni factor kubwa lakini sasa hivi forex inafanywa kwa mtindo wa speculation na kuna mabenki kama kumi yana influence hizi thamani za sarafu.
View attachment 1167233
Ndio maana ukiwa unaangalia thamani ya shilingi vs USD unakuta inabadilika badilika hata baada ya dakika tano.
Hii inasababishwa na speculators, Na hawa speculators(mabenki, hedge funds, serikali mfano switzland 2010 ) huwa wanaangalia hizo factors 6 na zingine za kisiasa.
Sasa kama hizo kama hizo baadhi ya factors nilizoweka zikiwa nzuri demand ya currency itakuwa kubwa tu na wala nchi haitohitaji kupunguza sifuri.
Mtindo huu wanaofanya baadhi ya nchi wa kuzipa thamani ya juu sarafu zao sio rafiki na mchezo wa panya na paka.
Kwangu mimi nikiangalia uhalisia sioni ni namna ambayo sarafu ya tanzania inaweza pambana na dola ya marekani hata Rais awe nani na serikali iwe na chama gani.
We elimu yako wazazi wako walipoteza hela yao kukulipia ada primary bora wangenunua mbolea wapandie mahindi wangepata faida una lolote unakuja tu ovyo jifunze View attachment 1166724
Kesho nadhani utakua umejifunza mana umekurupuka tu humu sio instagram yako mjinga we
Walikosea sana maana inflation ilikuwa ikiendelea bado
Ukitoa zeros akat kuna inflation ni kaz bure
Hii kitu aliniambia baba yangu jana nimemkumbuka mzeeWhy dont yhe government apply elimination of zeros
Currently
1 usd =2300tsh
After eliminating zero
1usd =230tsh
Then our lowest will be 5tsh instead of 50tsh
And our highest currency will be 1000 instead of 10000tsh
Ina maana pesa yetu ikibadilishwa itakuwa juu sana kuliko iyo rand tafsiri ni kuwa 400Tsh mpaka 700Tsh ni rand chache na gharama nafuu sema tumeivuta pesa yetu inahitaji fixation irudi[/QUOTE]Mkuu thamani ya fedha si inashuka na kupanda? Utakumbuka hapo nyuma sh20 yetu ilitwa pound, hii ilitokana thamani £1=sh20 na Zimbabwe wameanza kutumia dollar yao tena. Kumbuka kilicho changia kiasi kikubwa kushusha fedha yetu, ni matumizi makubwa fedha za nje kwenye manunuzi. Juzi kati umemsikia gavana akiziambia Benki kuwa ziende benki kuu kukopa, zipo pesa za kigeni zakutosha kufanya biashara ya kubadilisha pesa za kigeni. Na amini kama sh yetu iko stable una vitu vingi vya mfano. Ila nitakupa mfano mmoja nauli ya dala dala south africa ni kati ya R12-R17 wakati sisi ni kati ya SH400-SH700. Ukiconvert rand 1 = sh 164 kwahiyo nauli ya daladala kwa south Africa ukiconvert ni kati sh1900-sh2800 wewe hilo unaona limekaaje? Na ndiyo maana nikaomba wenye weredi na maswala ya fedha watusaidie kutupiga msasa.
Eti uondoe zero ili pesa ipande thamani.
Wazee uchumi ni taaluma sio suala la kukurupuka kama rahis wenu. Mtambue kwamba kuna Watu wanakaa darasani kusomea hayo mambo na sio jambo rahisi la kuongeza na kupunguza zeros.
KwanzasiokweliTatizo we ndo unakurupuka na huelewi tunaongelea nn
Kwanzasiokweli
KwelikwanzaSio kweli kitu gan