Tanzania and Kenya to Share Experience on Housing and Urban Development

Ama hakika hujaelewa. Sasa hapo si wameandika wata share know-how
 
Dar inahitaji ifumuliwe na kujengwa upya au kama vipi mhamie Dodoma....huo mji haukupangwa kabisa.
 
Hapo kenya Anataka kujifunza maujuzi ya national housing coorperation
 
Yaani mmiliki wa slum duniani amsaidie mwenye unplanned settlements. Tofauti ya Tz na Kenya iko hapa Tz haina slums ila ina huge unplanned settlents while Kenya owns huge slums.

Nashukuru kwamba hili somo limeeleweka sasa kati ya unplanned settlements vs slums.
The Decision rule is: Not all unplanned settlements are slums, but all slums are unplanned settlements.

Sasa kama ulivyosema, amalize kwanza kupanga hizo slums za huko Gorogocho, ndiyo aje atuambie kuhusu kupanga miji.
 
Dar inahitaji ifumuliwe na kujengwa upya au kama vipi mhamie Dodoma....huo mji haukupangwa kabisa.
Dar haikomboleki, ni vigumu kuhamisha watu millioni sita! hii imekua Bangladesh ama Lagos., itachukua vizazi vingi sana kuibadilisha!
 
Yaani mmiliki wa slum duniani amsaidie mwenye unplanned settlements.Tofauti ya Tz na Kenya iko hapa Tz haina slums ila ina huge unplanned settlents while Kenya owns huge slums.
Wee beachi kidimbwi hebu skiza hapa...kenya is a very well planned country.. ile slum unasema ni kibera na ni kajisehemu kadooooogo sana ndani ya nairobi ..yaani kadogo sana...na ujue hili kuanzia leo....muonekano wa kibera ni kama dar esaalam sehemu sana...ukiwa dar hutajua hili kwa maana sehemu kubwa ya mji wa dar ni slum tupu ndio kwa maana
 

Ni mtazamo wako na wakenya wenzako ndiyo unaoonesha kwamba slum ya kibera ni ndogo, lkn mtazamo wa dunia ni kuwa kibera is among the largest slums on earth.

Kama hutaki nenda ka hug transformer.
 
TZ hatuna slums labda huko kwenyu Mathare
Si eti hamna slums ...dar yote ni slums isipokuwa masaki na kinondoni...but the rest of the so called city is slum...kama vile mathare
 
TZ hatuna slums labda huko kwenyu Mathare

UNACHOSEMA WEWE HUJUI KABISAA, NIMESHASEMA MARA NYINGI TUU...TANZANIA YOTE NI SLUMS TUPU...MPAKA KIWANGO HAMJUI TOFAUTI YA SLUMS NA ORGANIZED LIVING STANDARDSS...MNACHO KIITA MATHARE NA KIBERA NDIO MAKAAZI YENU YA KAWAIDA HUKO TZ..KENYA SISI NDIO TUNAZO SLUMS MBILI TATU HIVI LAKINI...SEHEMU KUBWA YA NCHI YETU NI ORGANIZED LIVABLE HABITAT...YAANI MITAA TEU NI YA KIZUNGU HIVI VERY ORGANIZED AND NEAT PLEASE CHECK THE PICTURES BELOW FOR NAIROBI ESTATES.





















































































 
Karibu nusu ya jiji la nairobi wanaishi katika ni slums! tena za kupangishwa, wanapanga mabati, mtaifundisha nini Tanzania isiyokuwa na slums?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…