Tanzania baadhi ya watu wameendekeza imani za kishirikina

Tanzania baadhi ya watu wameendekeza imani za kishirikina

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
1. Tumesikia na kushuhudia timu za Simba naa Yanga zikipigwa fainj na TFF kwa wachezaji wake kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta eti kwa kisingizio chaa kuukwepa uchawi.

Pia viongozi na mashabiki wa hizi timu wamekuwa wakiamini ktk ushirikina mpk wameunda kitu kinaitwa "Kamati ya Ufundi".

Leo kumetokea vurugu pale uwanja wa Mkapa majira ya saa 2 usiku, Simba wakitaka kuingia kufanya mazoezi, lkn Yanga wakiamini Simba anaingia kuroga.


3. Albino wanauawa sana kipindi cha uchaguzi kwa vile tu kuna Imani ya kishirikina kuwa viungo vya albino vinasaidia wagombea kushinda uchaguzi.
4. Wafanyabiashara wanafuga paka madukani mwao wakiamini wanasaidia kuvuta wateja.

Taifa la kishirikina hili.
 
1. Tumesikia na kushuhudia timu za Simba naa Yanga zikipigwa fainj na TFF kwa wachezaji wake kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta eti kwa kisingizio chaa kuukwepa uchawi.

Pia viongozi mashabiki wa hizi timu wamekuwa wakiamini ktk ushirikina mpk wameunda kitu kinaitwa "Kamati ya Ufundi".

Leo kumetokea vurugu pale uwanja wa Mkapa majira ya saa 2 usiku, Simba wakitaka kuingia kufanya mazoezi, lkn Yanga wakiamini Simba anaingia kuroga.

2. Rais wetu anaambatana na Waziri Salum kila mahala kwa malengo ya kupata ulinzi wa kishirikina.
3. Albino wanauawa sana kipindi cha uchaguzi kwa vile tu kuna Imani ya kishirikina kuwa viungo vya albino vinasaidia wagombea kushinda uchaguzi.
4. Wafanyabiashara wanafuga paka madukani mwao wakiamini wanasaidia kuvuta wateja.

Taifa la kishirikina hili.
Hutojibiwa maana ni kweli wanaamini na humu ndio wamejaa hatari wachawi sana sana
 
Sio Tanzania tu mkuu Bali ni worldwide mambo hayo yapo sana
 
Wamebadilisha heading ?
Basi sichangii tena
Naona mida hii iko fulu timu masi nondo
Walale sasa imetosha

1741385779789.png
 
Kazini kwetu hata bosi akileta ushirikina atasusiwa ofisi na shughuli husimama kuonesha hatuungi mkono imani za kishirikina. Utakuta mbuzi/kondoo anachinjwa kwa minajili ya kunywa supu na kula nyama huku amenuiziwa na kuapizwa halafu wafanyakazi wale na kunywa supu. Mara kichwa cha mbuzi/kondoo kifukiwe ardhini mbele ya ofisi, tulikuwa hatuli nyama wala kunywa supu ofisini kwa lengo la kupongezana kumbe bosi anafanya ibada za kishirikina bila sisi kujua
 
  • Thanks
Reactions: G4N
1. Tumesikia na kushuhudia timu za Simba naa Yanga zikipigwa fainj na TFF kwa wachezaji wake kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta eti kwa kisingizio chaa kuukwepa uchawi.

Pia viongozi na mashabiki wa hizi timu wamekuwa wakiamini ktk ushirikina mpk wameunda kitu kinaitwa "Kamati ya Ufundi".

Leo kumetokea vurugu pale uwanja wa Mkapa majira ya saa 2 usiku, Simba wakitaka kuingia kufanya mazoezi, lkn Yanga wakiamini Simba anaingia kuroga.


3. Albino wanauawa sana kipindi cha uchaguzi kwa vile tu kuna Imani ya kishirikina kuwa viungo vya albino vinasaidia wagombea kushinda uchaguzi.
4. Wafanyabiashara wanafuga paka madukani mwao wakiamini wanasaidia kuvuta wateja.

Taifa la kishirikina hili.
Kazi na dawa wewe.
 
Back
Top Bottom