Tanzania: Bahari Beach Satellite City

Hizo executive villas zinauzwa kiasi gani?
 
now arabs are really investing in tanzania. This country should change name to ' arabu republic of indian tanzania... Fotseki
 
now arabs are really investing in tanzania. This country should change name to ' arabu republic of indian tanzania... Fotseki

Arabs are part and parcel of this country, who knows if this is not their native land?
 
Mr zoma, arabs are slave traders. They come from the middle east. They have no value or respect for blacks. By the way do u know who has bought serengeti? Am not surprised that now they have convinced black tanzanians to fight for the lake nyasa. Gues who will win? Its the same arabs that will grab the lake.
Arabs are part and parcel of this country, who knows if this is not their native land?
 

Arabs were here buying slaves from whom?
 
infact they used guns to grab black africans and sell them to the west. You quest is rhetoric but had to ans u fo respect. To say they bought humans is being dishonest. They stil killing housemaids working in the middle east today. They have no value for blacks. Did u know is trying to grab serengeti? R u arabu
QUOTE=zomba;4418542]Arabs were here buying slaves from whom?[/QUOTE]
 
Sheria zipi?au unazungumzia hizo za Chama cha mabwepande za kulindana uingereza ilisema tukamate wezi wa Rada lakini mpaka Leo tumeuchuna
 
Na hiyo aridhi inahamia kwa hao maharamia ya kisomali

Maharamia ni watu kama wewe mnaowapachika watu majina yasiyofaa kwa chuki tu za kijinga, Wasomali wamekufanyia haramu ipi hata uwaite maharamia? au?
 
Sheria zipi?au unazungumzia hizo za Chama cha mabwepande za kulindana uingereza ilisema tukamate wezi wa Rada lakini mpaka Leo tumeuchuna

Uingereza wamekwambia uukubali ushoga vile vile vipi umeshaanza?
 
Uingereza wamekwambia uukubali ushoga vile vile vipi umeshaanza?
Anayetakiwa kuanza ni Yule mwenyekiti wa Chama cha mabwepande aliyenda huko kwaajili ya semina ya family planning badala ya kwenda waziri husika
 
Anayetakiwa kuanza ni Yule mwenyekiti wa Chama cha mabwepande aliyenda huko kwaajili ya semina ya family planning badala ya kwenda waziri husika

Mbona swali kuhusu Uingereza umelikwepa? umerukia mengine. Kwi kwi kwi teh teh teh. Hiyo inamaanisha kuwa sio kila wanalokwambia Uingereza basi wewe ulifate tu. Mengine ndio hayo mnashindwa kujibu.
 
Ni kweli ni hela za maharamia wa kisomali.

Lakini baada ya kutaitiwa kimataifa sijui kama mtoa mada amefika sehemu hiyo.
Leo ni magofu matupu, pesa imekauka!
Aaah, kumbe pesa imekauka kwa sababu mataifa makubwa yameongeza ulinzi baharini na maharamia wanakamatwa left and right! Na maharamia hawa tunawakaribisha nyumbani eti nao ni wawekezaji?
 
Mkuu Jasusi ndio taifa la Tanzania hilo ambalo mafisadi wenyewe wanajiita "viongozi" wana ulafi wa utajiri wa haraka haraka kiasi ambacho maslahi ya nchi wameyaweka pembeni na kujali maslahi yao binafsi. Wako tayari kusaini mkataba wa aina yoyote ile ali mradi tu wanafaidika bila kujali athari za kile wanachosaini ili kuingia mkataba.

Aaah, kumbe pesa imekauka kwa sababu mataifa makubwa yameongeza ulinzi baharini na maharamia wanakamatwa left and right! Na maharamia hawa tunawakaribisha nyumbani eti nao ni wawekezaji?[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Aaah, kumbe pesa imekauka kwa sababu mataifa makubwa yameongeza ulinzi baharini na maharamia wanakamatwa left and right! Na maharamia hawa tunawakaribisha nyumbani eti nao ni wawekezaji?
Mkuu kuna mada ya siku nyingi hapa JF, Jamii Intelligence kule iliyoletwa naLole Gwakisa.
Mada hii ya "Mharamia wa kisomali na mjumba mapya Mbezi"imeelezea kwa kirefu mlolongo wa pesa inavyoingia na kutumika hapa Bongo.
 
Maharamia ni watu kama wewe mnaowapachika watu majina yasiyofaa kwa chuki tu za kijinga, Wasomali wamekufanyia haramu ipi hata uwaite maharamia? au?

People like you should be castrated so that we dont have such characters in future.
Al Shababu ndugu zako?
Na walio-master mind mabomu ya American Embassy DSM na Nairobi ni Wakwere?
 
So can you trust the arb man who still colonizes black tanzanians?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…