U mean ile kenya ambayo ilimkatalia bakhresa in 2012 kufungua kiwanda cha kusaga ngano mombasa kuwa atauwa viwanda vya ngano vya wakenya wazawa sababu atauza ngano yake cheap..... Watanzania wnaofanya biashara kenya labda wachuuzi wa arusha na wachonga vinyago wa Gikombaa.
Sent using
Jamii Forums mobile app