Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Your own link has clearly indicated that the Kenya govt ownns 30% of the shares and the rest is owned by private persons, with the shares traded in the Nairobi stock exchange, nimedanganya wapi?Nafikiri unajidanganya. Cut story short, please provide us the list of shareholders? If any, why the principle is applied in only one-way handshake?
Ha ha ha , as per regard, you would be deluding yourself.Your own link has clearly indicated that the Kenya govt ownns 30% of the shares and the rest is owned by private person, with the shares traded in the Nairobi stock exchange, nimedanganya wapi?
Do not disturb me with stupid questions plz.
hawajui ila wanahangaika sana kukijua na wanakihitaji kwasababu ili bidhaa zao zipate soko lazima kiingereza kihusike.Ni kweli kabisa sisi hatujui kingereza.
Je wachina wanajua kingereza? Na wajapani? Warusi?
Fool.
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?Mi ni mtz kamili, naishi Kenya Niko comfortable hakuna anayenibughudhi
Kibaya kiko wapi sasa? Kwani viwanda vyote vinavyozalisha Kenya ni vya wakenya? Mbona kupitia mahusiano yetu tunanunua bidhaa zao na kuchangia pato la nchi yenu? Na kwa bidhaa kama ngano isingeletwa ikiwa haijakobolewa, mngeletewa unga,ulioandaliwa na viwanda vyetu, sawa na kununua panado toka Kenya.Ndio, lakini msimu uliopita mavuno yalikuwa haba mno, hamkuwa na ya kutosha ya kutuuzia, kama tu mahindi.
Sasa hawa wafanyi biashara wa Tz ndio wakaanza kuagiza kutoka nje, tena kuyauza Kenya.
So how is English teacher related to chemistry teacher. Can u say a man who couldn't say vapour is a good English teacher?Mmh? Ulituambia hili kuhusu yule wako mwalimu mkenya:
" yenyewe today i realized how influential i am on you guys! I have noticed how the number of viewers has risen in this thread from 200 to now over 800 just because i have given my opinion on "Mwagi" that i still stand firmly on! I know i am that bitter pill to swallow! most followed bad seed creature by Kenyans in this forum :hail:! BTW i have just remembered one chemistry teacher from Kenya at my o levels that could not pronounce word "vapour"! he usually used to say "fapour" at struggle and accompanied with a liter of saliva oozing out of his protruding teeth we used to come with umbrellas to cover ourselves from "rain"! He must have been a kalenjin!"
Uhuru Kenyatta Angara US Summit
Comment #22
Ana matatizo ya kufikiri vyema huyu, ngoja Nimwambie taaluma ambayo mwanae anayo, anajua kuongea kingereza, kompyuta na si zaidi ya hapo. Tumesoma nao sana hawa waliotoka shule hizo, wakija sec. hamna kitu.Ni kweli kabisa sisi hatujui kingereza.
Je wachina wanajua kingereza? Na wajapani? Warusi?
Fool.
Game ndo kwanza linaanza, acha mbwembwe, shuhudia tu. Kibaya zaidi, hatuufati uelekeo wenu kuwakimbiza, tuko na shortcut zetu huku, serikali inapaa, rushwa na ufisadi hatutaki, na wanye nchi wanaamka, bonge la shortcut. Mtaisoma tu namba. Ondoeni uwekezaji wenu, mtajua pa kuwekeza, si tunayafikiria mafuta yetu na gesi yetu ya ziwa Nyasa kwanza, najua suluhisho ni kuungana nao ktk taifa moja. Mtz huwaza huko sio vingano na vibiriti mlivyowekeza na kuzuia.No country has ever developed by discrimination ,Kenyans have invested heavenly in Tanzania they should be appreciated instead of being fought .Nevertheless Kenya's spirit is strong ,and will win at the end
Kumbe kuna kauwezekano hata Mengi anahisa nyingi humo na watz wengine?Zile
Vipi KQ is it from Kenya?
Kenya Airways Ltd., more commonly known as Kenya Airways, is the flag carrier of Kenya.[4] The company was founded in 1977, after the dissolution of East African Airways. The carrier's head office is located in Embakasi, Nairobi,[5] with its hub at Jomo Kenyatta International Airport.[6]
The airline was wholly owned by the Government of Kenya until April 1995, and it was privatised in 1996, becoming the first African flag carrier to successfully do so.[7] Kenya Airways is currently a public-private partnership. The largest shareholder is the Government of Kenya (29.8.%), followed by KLM, which has a 26.73% stake in the company. The rest of the shares are held by private owners; shares are traded on the Nairobi Stock Exchange, the Dar es Salaam Stock Exchange, and the Uganda Securities Exchange.[7][8]
Wakenya daily nahofu akili na uwezo wenu wa kuelewa, nani kasema Tz English haifundishwi? Hata uliyemjibu hakumaanishi hivyo. Sasa watanzania wengi wanajua kingereza hata ya idadi ya wachina wakijuavyo? %%% nimekusaidia hapo kwakuwa uelewa wenu ni shida sana. Tunao wataalamu wa kingereza wakutosha, na falsafa ya lugha, ajifunzae toka A-z upya huijua vyema kulikoni. Nachelea kusema, wataalamu wa kingereza wa Tz ni bora zaidi ya wa KE.Kingereza ni lugha muhimu sana duniani, ndio lugha ya biashara na siasa. Hizo nchi zote ambazo umetaja hapo zina watu wengi tu ambao wanazungumza lugha kingereza. Nchi hizo zote hutumia lugha ya kiingereza katika negotiations na mikataba.
Wachina wengi imebainika wanapendelea kupeleka wanao kwenye shule zinazofunza kiingereza.
When in China, u are more likely to meet an English speaking Chinese than say French, leave alone Kiswahili.
The same is the case in Russia, Japan na hizo nchi zote umetaja.
Kwa hivyo komeni hivi visingizio eti kingereza haifai. Hizo nchi zinatumia kingereza katika utemangamano wao na nchi zingine.
Kiswahili tutakiendeleza tu, lakini pia tujifunze hili lugha ya kimataifa.
Sasa Mrusi akija Dar, asijue kingereza wala kiswahili, nanyi pia hamjui kingereza wala kirusi, sasa itakuwaje?
Kizazi chenu ndicho chenye Mikosi, mmekuta elimu imekwisha labda. Ila vyuoni tumesoma na wakenya, Uganda na mataifa mengineyo, hawakuwa wenye akili kivile japo wana bidii sana ktk kujifunza aka wasongo sana nadhani wanajijua ni vilaza. Ungemuuliza huyo mtoto huko Kenya alikuwa akishika nafasi ya ngapi?Mkuu hawa walimu wa kenya ni shida wapo vizuri sana asikwambie mtu.. kuna shule moja ya sekondari ipo kilimanjaro wanafunzi wa form 4 wakikaribia kufanya mitihani headmaster huenda kuwachukua walimu 2 wa chemistry kwaajili ya practical miezi 4 kabla ya mitihani.... sijui anatoa wapi hela ila sasa hvi kastaafu...
Shule karibia zote za private za english medium zina walimu kutoka kenya....
Kuna mzee mmoja alimpeleka mwanae shule ya private kenya nafasi darasani alikuwa anashika nafasi ya 10 akaja akamrudisha bongo darasani anashika nafari ya 1
Kiaje mbona mawazo yako ni mafupi hivyo? Kinachoongelewa ni tofauti na unachodhani, mi naamini mtaalamu wa linguistic E. Africa anaweza akawa ni mtz.hawajui ila wanahangaika sana kukijua na wanakihitaji kwasababu ili bidhaa zao zipate soko lazima kiingereza kihusike.
kitu usichoelewa ni kwamba shule zote hizo ulizozitaja haukosi mganda au mkenya. pia, tufike kipindi tukubali watz hawajui kiingereza, mtu asiyejua kuongea kiingereza fasaha hawezi kukufundishia mtoto wako akaongea kiingereza fasaha.
Huyu mwenzako ana ubishi usio na tija. Niko na taarifa kuwa waalimu wa kenya pia ni wachapa kazi pia, ni kweli?
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweza wakawa wachapa kazi, lakini hiyo haiondoi uhalali wa kuwa na work permitHuyu mwenzako ana ubishi usio na tija. Niko na taarifa kuwa waalimu wa kenya pia ni wachapa kazi pia, ni kweli?