joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Arusha mtiti,Dar kwa Mkapa mtiti,nyie endeleni kujifungia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataisoma namba Nathan wanafatilia live saa hiziArusha mtiti,Dar kwa Mkapa mtiti,nyie endeleni kujifungia.
Kwani wewe Dada mmeo huwa anakuonea wivu? Mme wako anatokea account gani?Raia walio kwenye nchi zote mbili wajiandae kupatiwa masaa ya kuondoka, tunakwenda huko ila kunao baadhi yetu tulishajiandaa kisakolojia kwa hili, miaka yote hii Tanzania imekua ikihangaika na wivu wake dhidi ya Kenya lazima yangetokea na kwa yeyote anayeshangazwa na haya matukio atakua wa ajabu.
Uzuri Wakenya walio Tanzania walishaonyeshwa hizi chuki kwa muda mrefu hivyo huwa wamejiandaa, ila kwa maelfu ya Watanzania walio huku Kenya huwa wamejiachia achia kwa misingi ya kuitana ndugu.