joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Anaitwa nani na shamba Lake lipo wapi?, ninataka kuliwahi pindi Magufuli atakapo toa amri ya kuwafurusha wakenya baada ya kuapishwa uchaguzi ukipita.My Aunt has a big farm for the same huko Tz.
[emoji3][emoji3][emoji3]Anaitwa nani na shamba Lake lipo wapi?, ninataka kuliwahi pindi Magufuli atakapo toa amri ya kuwafurusha wakenya baada ya kuapishwa uchaguzi ukipita.
Nitumie contacts zako uletewe lunch popote ulipoBora afanye hivyo na bado tungemchagua tu unajua yule mzee haiitaji bachelor ili kujua ni mzalendo, tangu ameingia madarakani yeye ni kazi kazi mara utamsikia yupo Lindi kesho yupo mtwara akitoka hapo atarudi kupitia njia ileile na atasimama tena kusikiliza kero za wananchi, zen cku mbili baadae utamsikia yupo Morogoro basi ujue mikoa yote iliyo karibu na moro atatimba, yn kwa Tanzania hii km kuna vijiji hajafika basi ni vichache sana mana tangu akiwa waziri yeye ni mchaka mchaka tu kupambana na wachakachuaji.
Pia tusisahau kwamba tangu amekuwa rais ametoka nje ya nchi mara chache sana sidhani kama zinafika tano na nchi zenyewe ni za Afrika zilizo karibu naye [emoji3][emoji3] huyu kiboko yn viongozi wa Afrika wanakazi kubwa kuvaa viatu vya huyu jamaa. Ni rais gn atakubali asiende kula raha Europe na Marekani, je hata ingelikuwa ni ww Joto ungelikubali upopoma huo?[emoji3][emoji3]
So itoshe tu kukubali kwamba Magu hata km kuna makosa ya kibinadamu anafanya lkn hiyo haiwezi kumuondolea taswira ya uzalendo iliyo katika maisha yake.
Hadi sisi raia tutaheshimiana tu, mlituchukulia powaI am not the owner of those Airlines Mkuu so wacha viongozi waheshimiane!
Utakuta ni mkurya wa sirari, au mjaluo wa kogelo. Si unajua hayo majamaa yana ndugu pande zote? So ni aunt yake lkn mtanzaniaAnaitwa nani na shamba Lake lipo wapi?, ninataka kuliwahi pindi Magufuli atakapo toa amri ya kuwafurusha wakenya baada ya kuapishwa uchaguzi ukipita.
Kuna KLM, Qatar, Emirates, Ethopia Airlines, na nyinginezo zinazofanya direct flight kwenda Dar, na Kilimanjaro.huyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Tunawajua wengi ambao wana ndugu pande zote. Utakuta mkurya ana aunt na jombaz sirari na Isbania au mjaluo ana ndugu Tanzania na kenya..My Aunt has a big farm for the same huko Tz.
Angalia list ya zinazokuja na zinaondoka hapahuyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Viva Strongman President MagufuliTanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols
Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) revokes the approvals for AirKenya Express, Fly540 and Safarilink Aviation.
Nairobi and Dar es Salaam are locked in disagreement after Kenya excluded Tanzania from the list of countries whose nationals would be allowed entry under revised coronavirus restrictions.
TCAA had earlier cancelled approvals for the national carrier Kenya Airways.
Tanzania has banned three more Kenyan airlines from its airspace as the standoff over the management of Covid-19 escalates.
The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) revoked the approvals for AirKenya Express, Fly540, and Safarilink Aviation on Tuesday.
TCAA director-general Hamza Johari confirmed the decision to The Citizen on Wednesday.
"The basis of the decision to nullify our approval for the three Kenyan airlines is the ongoing dispute between the two countries," said Mr Johari told The Citizen in a telephone interview.
The two neighbouring East Africa Community (EAC) member states are locked in a disagreement over the handling of passengers arriving from Dar es Salaam, after Kenya excluded Tanzania from the list of countries whose nationals would be allowed entry under revised coronavirus restrictions.
Following the publication of the list, TCAA, on August 1, cancelled plans to allow the national carrier, Kenya Airways (KQ), to resume flights to Dar es Salaam and Zanzibar over the omission.
Advertisement
Kenya has since expanded the list to 100 countries whose nationals are allowed entry without the mandatory 14-day quarantine. Tanzania is still missing from the list.
Before Tuesday’s ban, AirKenya Express, Fly540, and Safarilink Aviation operated daily flights to and from Kilimanjaro and Zanzibar in Tanzania.
Kenya Airways resumed international flights on August 1, heading to about 30 destinations for the first time since the routes were suspended in March due to the virus.
Tanzania is one of the critical routes for KQ and the national carrier had planned two daily flights to Dar and three weekly flights to the resort city of Zanzibar.
Mr Johari said the ban on Kenya’s four airlines would not be lifted unless air travellers from Tanzania are accorded the same treatment as those on the list.
“Some countries are allowed to enter Kenya without the same condition despite having very high rates of Covid-19 infections,” he told The Citizen.
The regulator said it was surprising that Tanzania, whose President John Magufuli declared it COVID-19 free, is exempted from the list. “What message are they sending to the world about Tanzania?”
-Additional reporting by Hellen Githaiga.
Tanzania bans three more Kenyan airlines over Covid protocols
Naam! Tunachotaka ni heshima mbeleI am not the owner of those Airlines Mkuu so wacha viongozi waheshimiane!
Kwani yanakuhusu wewe...tukikosa watalii wewe Mkenya inakuhusu Nini?huyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Ulivyo na akiki finyu. FYI watalii watafanya booking na other airlines zinazokuja TZ.nyingi hizo huleta watalii tzee soo poaa tu[emoji23][emoji1360]..wataishia maasai mara na kisha mombasaaa!!!
Kama hujui nyamaza. Kuna mtu karudi U.S.A alipofika ndege nzima walipimwa isipokuwa yeye. Maana alipoulizwa anatoka wapi akasema TZ. Jamaa wakamwambia she is good to go. Huyoo akapita.hamna kiongozi yeyote mwenye akili timamu ataruhusu mtanzania aingie nchi yake bila kupimwa na kuwekwa karantini ya siku 14..misimamo mliyochukua inazidi kuchangia mtengwe na nchi zingine na kwa akili zenu mnajiona victims
La mwewe hilona hatofaulu
Wafunge mabenki ya Kenya Tanzania!Hatua zingine zaidi za kuiadhibu Kenya zitafuata, stay tuned.
Bank huko ni mbali sana, hathari yake sio kubwa sana kwa wakenya na haitokei haraka, hapo hapo katika kuzuia mipaka ya ardhini ili wasitumie ardhi ya Tanzania kuzifikia nchi za kusini mwa Africa na vyakula kuwafikia wakenya ndio uchungu hutokea papo kwa papo.Wafunge mabenki ya Kenya Tanzania!