Tanzania Bara imekuwa maabara ya kufanyia majaribio?, Kwanini Rais kaanza kuthamini machifu bara lakini hataki kujaribu Zanzibar?

Tanzania Bara imekuwa maabara ya kufanyia majaribio?, Kwanini Rais kaanza kuthamini machifu bara lakini hataki kujaribu Zanzibar?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??

ajabu ni kwamba haya mambo yanafanyikia tu huku kwetu bara lakini huko upande mwengine hawataki kujaribu.

Ni ngumu sana kuona athari ya haya mambo kwa sasa lakini hii mbegu inayoanza kupandwa ikistawi ni wazi kabisa italeta athari kubwa kwa watoto wetu na vizazi vijavyo, Tanzanja bara itagawanyika zaidi na zaidi huku umoja ukidhoofika, hii inaweza kufanya hata iwe rahisi kutumia mbinu za divide and conquer.

Je, Tanzania bara imekuwa sehemu ya majaribio??
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo?...
FB_IMG_1642923152303.jpg
 
Kwa sababu Zanzibar ni civilized na sisi huku Bara ni backward watu wa makabila malugha lugha ambao hatujastaarabika bado, kumbuka alisema namnukuu „mimi sina Kabila, mimi ni Mzanzibari“.

Hakuna namna nyingine ya kuliezea hilo, kwa nini Zanzibar hakuwaambia waache Uislamu na kufwata mila za matambiko ya Watemi na machief kuvaa ngozi za Wanyama karne ya 21 , wakati Dunia inaongelea artificial intelligence sisi tunaambiwa tukatambike.
 
Ile ni gia ya kuwahadaa wachaga baada ya kufanikiwa kumtesa mtoto wao jela. Yaani Mbowe.
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo?...
Nyerere alifuta uchifu, Hangaya anaurudisha
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??
...
Wewe unaumwa na Utanganyika kuichukia Zanzibar.
Ama Kumchukia mama Binafsi,
Dawa yako uje Zanzibar tukuoneshe machifu wa huku jinsi ambayo wana wajibika.
 
Hata machinga walifukuzwa bara tu kule visiwani vitambulisho vyao vimeboreshwa ili wakopesheke.
 
Nim
Esikiliza hotuba yake. Kwa kweli she is carried away na huo Uchifu Hangaya. Inaelekea kuwa yuko serious kuturudisha huko kwenye uchifu. This is very bad. Sijui lengo lake ni nini hasa na kwa manufaa ya nani..?

Kama ni swala la Utamaduni basi aanze na huko kwao Zanzibar ambako Usultani ulikuwepo kwa karne kadhaa.
 
Back
Top Bottom