Tanzania Bara imekuwa maabara ya kufanyia majaribio?, Kwanini Rais kaanza kuthamini machifu bara lakini hataki kujaribu Zanzibar?

Tanzania Bara imekuwa maabara ya kufanyia majaribio?, Kwanini Rais kaanza kuthamini machifu bara lakini hataki kujaribu Zanzibar?

Mwenzenu anaandaa mazingira ya uchaguzi 2025.

#Mark_my_words
 
Ni mlolongo wa kurasimisha utawala wa kishetani chini ya mpinga kristo kama ilivyoandikwa kwenye vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohanna...
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??

ajabu ni kwamba haya mambo yanafanyikia tu huku kwetu bara lakini huko upande mwengine hawataki kujaribu.

Ni ngumu sana kuona athari ya haya mambo kwa sasa lakini hii mbegu inayoanza kupandwa ikistawi ni wazi kabisa italeta athari kubwa kwa watoto wetu na vizazi vijavyo, Tanzanja bara itagawanyika zaidi na zaidi huku umoja ukidhoofika, hii inaweza kufanya hata iwe rahisi kutumia mbinu za divide and conquer.

Je, Tanzania bara imekuwa sehemu ya majaribio??
Utajaribu vipi wakati hatujawahi kuwa na makabila wala machifu?
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??

ajabu ni kwamba haya mambo yanafanyikia tu huku kwetu bara lakini huko upande mwengine hawataki kujaribu.

Ni ngumu sana kuona athari ya haya mambo kwa sasa lakini hii mbegu inayoanza kupandwa ikistawi ni wazi kabisa italeta athari kubwa kwa watoto wetu na vizazi vijavyo, Tanzanja bara itagawanyika zaidi na zaidi huku umoja ukidhoofika, hii inaweza kufanya hata iwe rahisi kutumia mbinu za divide and conquer.

Je, Tanzania bara imekuwa sehemu ya majaribio??

Masikini hujui hata historia! Wanzanzibari ni wahamiaji kutoka bara halafu waka kaa chini ya utawala wa Oman. Hivyo wengi hawajui makabila yao
 
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.

Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??

ajabu ni kwamba haya mambo yanafanyikia tu huku kwetu bara lakini huko upande mwengine hawataki kujaribu.

Ni ngumu sana kuona athari ya haya mambo kwa sasa lakini hii mbegu inayoanza kupandwa ikistawi ni wazi kabisa italeta athari kubwa kwa watoto wetu na vizazi vijavyo, Tanzanja bara itagawanyika zaidi na zaidi huku umoja ukidhoofika, hii inaweza kufanya hata iwe rahisi kutumia mbinu za divide and conquer.

Je, Tanzania bara imekuwa sehemu ya majaribio??
Huyu mama hana nia njema na Tanganyika kabisa anataka kutuchonganisha tuanze kuparuana hapa ili alipize kisasi kwa wazanzibar
 
Nim

Esikiliza hotuba yake. Kwa kweli she is carried away na huo Uchifu Hangaya. Inaelekea kuwa yuko serious kuturudisha huko kwenye uchifu. This is very bad. Sijui lengo lake ni nini hasa na kwa manufaa ya nani..?

Kama ni swala la Utamaduni basi aanze na huko kwao Zanzibar ambako Usultani ulikuwepo kwa karne kadhaa.
Unajua Mkuu ukishakosa maono Ni lazima utajaribu tu kufanya tuvituvitu ili uonekane nawe upo. Mama angalikuwa na maono makubwa asingalijihangaisha na mambo kama ya kuvaa Nguo za Chui. Au ndo kuifungua Nchi kwenyewe Kwa kuamini anaweza kuvutia Utalii Kwa kushirikiana na Watemi na Machifu?
 
Back
Top Bottom