Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Sasa sababu ulifikisha masomo Form1 JF hatuwezi tulia? Unaona kama kupitia shule ya upili ni hoja eti utumwagie povu humu na basic knowledge..
You are a clown, "kanda ya moko" (KYM in ki- Greeki )
Mkikuyu una shida na wivu sana....
Nilikua namuelewesha mtu mwingine kabisa wewe ukarukia kwa mbele!
Niliye muelekeza hajalalamika wewe Mkikuyu wa Murang'a unarukia kwa mbele!
Sio bragging,ni concept ya kawaida kabisa na inafundishwa shule ya Upili Kidato cha Kwanza kabisa..wala sio college!
Pia usiwe mtu wa malalamiko hivyo,na usiwe na wivu wa kike...ulikua hujui sasa umejua yanini wivu na roho mbaya mpaka unatoa maneno ya kejeli na bitterness hivyo?
Lets say ni kweli na-brag,hata kama wewe unataka kufanya nini sasa?Nothing you can do just bitch all along!