Elections 2010 Tanzania bila mimi

BABA JUICE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
426
Reaction score
54
Kuna watu humu ndani wanaona kwamba mawazo yao yanaumuhimu kuliko ya wengine au kwamba hatuitajiki kutoa mawazo yetu mmoja wapo akiwa moderetor wa hii website, i dont know u people bt the way you think mpo juu kimawazo zaidi ya wengine hiyo tayari imewaweka kwenye kundi fulani, tetea hoja kwa sababu za msingi sio kwasababu siamini unachoamini ww unataka kuniforce niamini....mambo hayaendi hivyo...kama mnashindwa kupokea mawazo ya mtu with open minded basi demokrasia haina mahali pake hapa na CCM itaendelea kutawala hadi mjue kutetea hoja kwa reasons na sio matusi na kejeli....ni hayo tu.
 
Unalialia nini wewe, kama mwanao juice kamlinde jirani anamchakachua saa hizi!
 

Ningeandika neno moja tu - crap - lakini kwa vile mods wa hii forum wamezuia kuandika neno moja la crap kwenye craps kama hizi za kutokea crapville, kwa leo nitasema tu ....what? .... heri mimi sijasema neno crap kwenye post ya memba mwenzangu wa JF kama wewe mwenye crap za kutosha kulisha watoto wa kihindi dunia yote.

Sababu ya kutoandika crap hapa au kuandika crap hapa (mods wanataka sababu itolewe) ni kwa sababu umemtukana mod wa hii forum bila kuwa na...... holly crap ......reason yoyote kufanya hivyo.
 
Unajua jamaa kasahau kuwa Crap lazima iwe holly haijalishi imetoka crapville au craptown na hatakama imetumwa na crapmaniac
 
We mbona unachanganya habari? Sasa umerudia huu uzi ili usisitize au? Mods ondoeni mathreads haya yanayojirudia!
 
Unajua jamaa kasahau kuwa Crap lazima iwe holly haijalishi imetoka crapville au craptown na hatakama imetumwa na crapmaniac

Jamaa ana atizo la kunywa crap malt asubuhi ambalo mara nyingi linaleta madhara kwenye crapitis za watu wenye mitizamo yenye crap-olier kama hii. Mara nyingi watu kama hawa wanapewa crap-oer kila siku inayofuata kwa miezi sita.
 
Breaking news? May be you are right; lakini mkuu hukuliona jukwaa la malalamiko?
 
kwa nn neno crap limekatazwa kuandikwa hapa? Sasa kama mtu katema crap kwa nn usiamjulishe kuwa kaandika craps??
 

Crap! Sorry invisible.......!
 

Kutoa ushuzi kote huko kumbe ulikuwa unaelekea kuzungumza hiyo sentensi pumba?

CCM haiwezi kuendelea kutawala.
 
Ohh sasa naanza kuona picha kubwa..huyu ni Mrs. MS!! :whoo:
 
na anaingia rasmi kwene list yangu ya watu wasio na input.
 
hahahahaha,pole sana ila Tanzania bila wewe inawezekana
 
Tanzania bila wewe itakuwa na neema zaidi na haitakuwa na upuuzi wa hili dude CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…