ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kwanza lazma tujue oligarchy ni nani , na bilionea ni nani.
Kiufupi oligarchy ni kikundi Cha watu/mtu wenye feza nyingi sana yaani matajiri ambapo utajiri wao unatokana na serikali iliyopo madarakani kuwapa nguvu huyo na wanatumia na serikali kujipatia utajiri either kwa kupeana mikataba kwa masharti ya kuisaidia serikali hiyo kuendelea kubali madarakani. Pia Hawa oligarchy wanapata utajiri kwa kutumia natural resources za nchi na ndo wanacontrol serikali
Kwa upande mwingine bilionea Hawa ni matajiri walioweza kujipatia utajiri kwa mfumo nje na ule wa kula dili na Serikali, mfano mzuri alikuwa Reginald Mengi, Bakharesa etc.
Kiufupi Reginald Mengi alishawataja ma oligarchy wa nchini Tanzania yeye aliwaita mafisadi papa, wale wale oligarch aliowataja mengi sasa hivi wanarudi kwa Kasi
Kwa kusema hivo basi Tanzania tuna tajiri mmoja ambaye ni Bakhresa na yupo clean na ashirikiani na Serikali kama hao maoligarch wengine ambao juzi kuna oligarch mmoja alienda na mama Marekani.
Kuna huyu oligarchy Mwingine anahusika na matimu timu ya mpira
Kiufupi oligarchy ni kikundi Cha watu/mtu wenye feza nyingi sana yaani matajiri ambapo utajiri wao unatokana na serikali iliyopo madarakani kuwapa nguvu huyo na wanatumia na serikali kujipatia utajiri either kwa kupeana mikataba kwa masharti ya kuisaidia serikali hiyo kuendelea kubali madarakani. Pia Hawa oligarchy wanapata utajiri kwa kutumia natural resources za nchi na ndo wanacontrol serikali
Kwa upande mwingine bilionea Hawa ni matajiri walioweza kujipatia utajiri kwa mfumo nje na ule wa kula dili na Serikali, mfano mzuri alikuwa Reginald Mengi, Bakharesa etc.
Kiufupi Reginald Mengi alishawataja ma oligarchy wa nchini Tanzania yeye aliwaita mafisadi papa, wale wale oligarch aliowataja mengi sasa hivi wanarudi kwa Kasi
Kwa kusema hivo basi Tanzania tuna tajiri mmoja ambaye ni Bakhresa na yupo clean na ashirikiani na Serikali kama hao maoligarch wengine ambao juzi kuna oligarch mmoja alienda na mama Marekani.
Kuna huyu oligarchy Mwingine anahusika na matimu timu ya mpira