Msifua mvuaimemnyeeshea.Naona amewasilisha kama ilivoripotiwa na kamanda Mambo sasa. ...
Safi lakini...
Nimefurahi tanzania tuna bilionea 1 kati yq 2000 waliopo duniani. ..
We proud of you MO. .
Siku nyingine ukiongea na "mabeberu" 'watch it'...
Mo bana! Acha kuzuga how come watekaji kutoka Mozambique na S.A walitaka hati za umiliki wa mashamba ya mkonge,Hatari sana, mbona Mo anaficha ficha.. Aseme walikuwa wakitumia Lugha gani?, ni weupe au weusi, walitaka nini kwake? aliwapa au hakuwapa?? Kama hakujibu hayo maswali hakukuwa na haja ya kumhoji..
Hakuna ugonjwa mbaya duniani kama kuwa tasa wa akili.Inawezekana chadema inacontrol jeshi na serikali sema tu sisi hatujui 🤣🤣🤣
Waulize CCM wenzio...Msifua mvuaimemnyeeshea.
Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?
Katika kuwasiliana wao kwa kwao walitumia lugha yao asili,lakini kipindi wakimuaddress jambo basi wanatumia lugha ambayo yeye kama hadhira ataelewa fanani anahitaji nini (kwa uelewa wangu mdogo)
Aliambiwa na Mambosasa huo ndio msimamoAlifungwa kitambaa cha macho muda wote alijuaje kama hao watu walitokea Mosambique na South Africa..??! Au kaambiwa aseme hivyo!!?
Hivyo alivyoeleza ndivyo kila mtanzania anajua hivyo, sasa hapo hakuna alichoongea zaidi ya kukopi mawazo ya watanzania wengi. utadhani sio yeye mhanga wa tukio.Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him
Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive.
His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge manhunt.
Speaking to the media for the first time about his ordeal, Mr Dewji told the BBC that he was blindfolded and disorientated when he made the plea.
He was released after 10 days and says no ransom was paid.
"I was blindfolded and there were times they kept on threatening me with guns to my head and five days, six days into it I was thinking I was losing my eye sight," Mr Dewji told the BBC Focus on Africa's Audrey Brown.
"[The kidnapper] was like 'I'm going to shoot you' and I was like 'you can shoot me and kill me', because I was losing it. You get disoriented, you're tired, because it's a form of torture."
He said he could hear people looking for him.
"I kept hearing these chopper noises and thinking that maybe this chopper's looking for me."
Ten days after his abduction in October 2018, his company, MeTL, tweeted a quote from Mr Dewji saying that he had "returned home safely".
He has since thanked people for praying for his safety.
'No ransom paid'
Mr Dewji told the BBC that his kidnappers had abandoned him in a field, 15 minutes drive away from where he had been abducted at the Coliseum Hotel.
The authorities have not established a clear motive for the abduction and Mr Dewji is also in the dark about it.
"I still don't know why it happened," he said. "Obviously the intention looked like it was money that they wanted. In the end they left me without the money."
He believes the kidnappers gave up due to pressure built up from media and political attention.
A Tanzanian taxi driver, Mousa Twaleb, has been arrested and is awaiting trial. But he is the only suspect that is being held.
'Need to give back'
Mr Dewji believes there were around three or four foreigners from Mozambique and South Africa involved, who he believes have fled the country.
The billionaire says he has made some changes in his life; replacing the lights in his house with brighter bulbs and has stopped jogging alone on the beach.
He said being kidnapped has made him reflect that "you need to give back".
Mr Dewji is credited with turning his family business from a wholesale and retail enterprise into a pan-African conglomerate. MeTL has interests in textile manufacturing, flour milling, beverages and edible oils in at least six African countries.
Forbes magazine estimated his net worth at around $1.5bn (£980m), which would make him Africa's youngest billionaire.
He intends to invest almost $400m in agriculture in Tanzania in the next 24 months, not for profit but to make an "impact", he said.
Copyright [emoji2398] 2019 BBC.
Kwani hapo kaongea chochote bora akae kimya tu huu utawala umewanyosha malaika woteNimejiuliza kwa nini hakuongea muda wote
Hahahaaa wafanya biashara akina Magufuli??Labda kudhulumiana kwenye biashara zao
Wafanyabiashara wana mambo mengi hatuwezi kujya5
Ila tushukuru alirudi ,hili Ndio la msingi
Hamnazo, so ebu taja namba mojawapo ya gari hapa tanzaniaWewe umesomea chini ya mti au ngumbaru nini??!!, , lini herufi zikawa ni namba??
Namba ni mfano, 1,2,3,4,----, Herufi ni mfano, A,B,C----, a,b,c, nk.[emoji1787][emoji1787]
Angekaa kimya tu !! Anazua maswali ya kejeli mengi tu ukute kama watekaji kweli walivunja kichupa hahaha
Yeye hakwenda pale kutaka kufurahisha watu alienda kueleza tukio lilivyokuwa sasa watu mnataka aeleze mtakayo wakati yeye ndio anayejua tukio lilivyo, msipende kulisha watu maneno.Hatari sana, mbona Mo anaficha ficha.. Aseme walikuwa wakitumia Lugha gani?, ni weupe au weusi, walitaka nini kwake? aliwapa au hakuwapa?? Kama hakujibu hayo maswali hakukuwa na haja ya kumhoji..
Y
Yeye hakwenda pale kutaka kufurahisha watu alienda kueleza tukio lilivyokuwa sasa watu mnataka aeleze mtakayo wakati yeye ndio anayejua tukio lilivyo, msipende kulisha watu maneno.
Ukiona hivyo yeye niMsifua mvuaimemnyeeshea.
Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?
watekaji ni watu wasiojulinaka ila wamejulikana sio watanzania East kuna nacho inatusumbua sana
Namba za kirumi hizo,kwani huzijui?Wewe umesomea chini ya mti au ngumbaru nini??!!, , lini herufi zikawa ni namba??
Namba ni mfano, 1,2,3,4,----, Herufi ni mfano, A,B,C----, a,b,c, nk.[emoji1787][emoji1787]
Ambao ni ugonjwa wako uliouzoeaHakuna ugonjwa mbaya duniani kama kuwa tasa wa akili.