Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 639
- 1,919
Mkuu una tatizo la Afya ya akili,kwa hiyo zile Newtons law of Motion tutunge zetu za kitanzania au?Sasa kwa nini msiite nane nane Monday au Sabasaba Saturday?
Ipo pipi mbili za ivory kwa sh hamsaa badala ya miaHiyo Black Friday ipo na kwenye maduka ya akina Mangi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeeeh mwenyewe unavyoilezea vizuri hiyo Marekani utasema Mmarekani!hiii Dunia ngumu hii
Nao wameiga juzi tu hapa. Zamani hawakuwa nayo.Hata UK kuna Black Friday. Hapo unasemaje mkuu?
Nianzishe Boxing Day ya nini mimi?Mbona wewe hujaanzisha Boxing day yako kwani lazima iwe baada ya christmass
Au tuite kikwetu: IKUNGULYABASHASHI DAYBora iitwe hata hivyo!
Sasa si muanziashe ya kwenu!
Kwa nini lazima iwe baada ya Thanksgiving?
Dah eti wala vumbi...una dharau sana ๐คSiyo suala la jina tu!
Angalia timing yake.
Angalia siku ya leo inaitwaje huko Marekani.
Angalia historia ya Thanksgiving na Black Friday.
Jana Tanzania ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving?
Na kwa nini nyinyi wala vumbi muiite siku ya punguzo la bei za bidhaa madukani โblack Fridayโ?
Mmekosa rangi ingine ya kuiita ya kwenu?
Samahani lakini Mr USAiko nje ya mada,una miaka mingapi kiumri?Sawa, ila imeanzia USA.
Nchi zingine zimeiga tu.
Tena hilo ndo zuri zaidi ๐คฃ๐คฃAu tuite kikwetu: IKUNGULYABASHASHI DAY
AhahahaaaaaIpo pipi mbili za ivory kwa sh hamsaa badala ya mia
Okay, thatโs your opinion!Mkuu una tatizo la Afya ya akili,kwa hiyo zile Newtons law of Motion tutunge zetu za kitanzania au?
Umebeba mambo mengi sana sasa yanakuvuruga
Ili usiige mtu yeyote ,Iwe unique ya kwako mwenyeweNianzishe Boxing Day ya nini mimi?
Unbothered.Ili usiige mtu yeyote ,Iwe unique ya kwako mwenyewe
Mkuu hata waliotengeneza simu bado watu wanaiga na kutengeneza zenye mfanano
Kama hutaki watu washerekehe black Friday Afrika au Uingereza basi hama hii dunia
Kuondokana na karaha na kero mkuu hama hii dunia
Huna hoja umekurupuka
Mfano ,Ni National anthem au nyimbo za mataifa,Kuna mataifa yalikuwa hayana National anthem lakini sasa wametengeneza kama wengine
AhaaSiyo suala la jina tu!
Angalia timing yake.
Angalia siku ya leo inaitwaje huko Marekani.
Angalia historia ya Thanksgiving na Black Friday.
Jana Tanzania ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving?
Na kwa nini nyinyi wala vumbi muiite siku ya punguzo la bei za bidhaa madukani โblack Fridayโ?
Mmekosa rangi ingine ya kuiita ya kwenu?
Umejiaminisha kabisa kwamba nimekurupuka eh ๐คฃ๐คฃ.Ahaa
Mkuu bora uombe Moderators wa delete huu uzi maana umekurupuka sana
Kwani ile Good Friday ya Vatican ,Huko marekani inaitwaje ?
Marekani yeye Goodfriday ana timing yake anaita jina jingine au ni Ijumaa kuu tu
Tafuta jina lako la ijumaa kuu na ushawishi watu wakufuate kama unaona ni jambo rahisi
Soma hustoria ndio utajua zimepita Big powers nyingi sana
Kuna Big powers zingine zikafuta miaka yote na kuanza upya kuhesabu na sasa ni mwaka 2023
Kuna Big powers zilianzisha Christmass unayosherekea wewe na wamerekani
Kuna Big powers zilianzisha ibada za Jumapili Sunday
Wewe unashangaa Marekani na BlackFriday ambayo inaishia Dar es Salaam tu kwa Tanzania
Sasa wenzako Jumapili inaazimishwa mpaka vijijini huko duniani kote kwa nguvu za dola moja tu lenye nguvu
Hii dunia mwenye nguvu ndie anaamua
Sasa wewe umekurupuka sana mkuu
Bora msukuma mwenzako alipush na sasa kuna World kiswahili day na inatambulika kwenye calenda za UN ,kuna siku ya kiswahili duniani na hakuna wa kupinga na kutoa siku yake
Black Friday kwa Wamarekani weusi na kumbukumbu mbaya sana na hawataki kusikia:Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.
Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani ๐ ๐บ๐ธ] ufute ujinga.
Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.
Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.
Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.
Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.
Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.
Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.
Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!
View attachment 2823288
Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?
Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?
Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!
Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.
๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ
Hahaha, nilidhani ni mi peke yangu namwsgiwaga hiyo milike. Ingekua hela tungesha tajirika.Bora hata uulize wewe Mr likes!
Jamii ya Kitanzania wengi ni mambumbumbu tu, wao ufuata mkumbo bila hata kujuwa ukweli. Ni haibu kutangaza biashara namna hii, nobody duniani anaiga ujinga kama sie Watanzania. Thanksgiving ya Marekani ni kwa ajili ya Wamarekani tu, nyie hapa Tanzania inawahusu nini? Huwezi kuta Mmarekani anasheherekea siku kuu ya Saba Saba huko kwao.Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.
Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani ๐ ๐บ๐ธ] ufute ujinga.
Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.
Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.
Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.
Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.
Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.
Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.
Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!
View attachment 2823288
Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?
Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?
Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!
Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.
๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ๐บ๐ธ